Hapa anaeleza mambo mbalimbali kuanzia historia ya maisha yake kwa ufupi alikotoka mpaka hapa alipo, shughuli alizowahi kufanya, ushabiki wake katika soka na taratibu za kufuata kwa wale wanaotaka kujiunga na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika (VOA).
Karibu uungane naye
Mkuu safi sana maana unatutambulisha majirani wa blogs, fanya na huku pia,hata kwa kiona mbali!
ReplyDelete