Wednesday, August 16, 2017

Mahojiano na Mch Absalom Nasuwa kuhusu Mkutano wa Askofu Gwajima DC

Karibu na asante kwa kujiunga nasi
Kanisa la Umoja International Outreach lililopo jijini Dallas Texas limeandaa mikutano ya injili katika maeneo ya Texas na Washington DNV.
Mwanzilishi na Mchungaji kiongozi wa kanisa hilo, Mch Absalom Nasuwa alizungumza na Mubelwa Bandio kuhusu mkutano huo
KARIBU

Pia Mch Nasuwa alizungumzia huduma yake

No comments: