tag:blogger.com,1999:blog-8951285990647982277.post5684991435535280626..comments2023-09-22T16:29:14.938-04:00Comments on "The Way You See The Problem Is The Problem": Them, I & Them.....CLOSE ONE YESTERDAY.....Buju BantonMzee wa Changamotohttp://www.blogger.com/profile/10491704592061579729noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-8951285990647982277.post-9264994614706759602010-10-08T10:42:25.398-04:002010-10-08T10:42:25.398-04:00Hata mimi najiuliza haya maswali. Tabia ya kuhoji ...Hata mimi najiuliza haya maswali. Tabia ya kuhoji na kuchambua mambo inajengwa kwa muda mrefu. <br /><br />Binafsi nitasikitika kupita kiasi kama Watanzania wataacha kufuatilia na kuuliza maswali ya msingi baada ya Uchaguzi kupita. Sidhani kama matatizo ya elimu nchini yatakoma baada ya kupiga kura; kwahiyo watakaokuja inabidi waendelee kupewa changamoto na kuhojiwa. <br /><br />Kwa maneno mengine, tujifunze kuhoji vitu mpaka vieleweke! <br /><br />Tusubiri... Na wakati huo huo, watakaoshindwa itabidi waanze kujipanga upya -- tokea siku ambayo Rais anaapishwa, na sio miezi sita kabla ya Uchaguzi 2015.SNhttps://www.blogger.com/profile/09052751960069005719noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8951285990647982277.post-76187008852619368702010-10-08T09:39:21.987-04:002010-10-08T09:39:21.987-04:00MMMhh! ni jambo la kufikirisha na kufikiri... na n...MMMhh! ni jambo la kufikirisha na kufikiri... na ni changamoto kubwa sana Ahsante. Ijumaa njema nawe pia familia yako.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8951285990647982277.post-73570317531483101162010-10-08T07:58:39.719-04:002010-10-08T07:58:39.719-04:00Ijumaa njema Mkuu na asante kwa hii changamoto !Na...Ijumaa njema Mkuu na asante kwa hii changamoto !Nakiri imenikuna kichwa!Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.com