"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
Na wewe pia pamoja na familia yako. God bless ya! xx
Ndugu yangu,nami nakutakia Krismasi njema wewe pamoja na familia.
Wewe na Familia Yako Pia Mkuu!Heri ya Krismas!Namuheshimu sana Yesu katika shughulizake kwa Mungu kama Mohamedi kwa Allah!Tuko Pamoja!
NIKUTAKIE PIA WEWE NA FAMILIA YAKO X MASS NJEMA NA HERI YA MWAKA MPYA
GOD JUL= KHERI YA CHRISTMAS! KWAKO NA FAMILIA YAKO. Upendo utawala Daima katika ninyi,na pia maandalizi meme kwa mwaka ujao.
Na nyie pia, mbarikiwe wote.
Mubelwa Bandio yenu na wageni. Ubunifu na ubunifu kutoka picha za Jose Ramon Merry Christmas
Heri na kwako pia, mungu azidi kukupa nguvu na baraka tele kwa mwaka ujao wa 2010.
Nakwako pia na familia yako kaka,mbarikiwe sana.
Nashukuru kaka, nami naitakia familia yako heri ya sikukuu ya Noeli na mwaka mpya wenye furaha, upendo, mafanikio na amani teeeeeeele.
Shukrani na wewe pia christmas njema, na twakutakia heri ya mwaka mpya
Kheri ya Christmas
Na wewe pia pamoja na familia yako. God bless ya! xx
ReplyDeleteNdugu yangu,nami nakutakia Krismasi njema wewe pamoja na familia.
ReplyDeleteWewe na Familia Yako Pia Mkuu!
ReplyDeleteHeri ya Krismas!
Namuheshimu sana Yesu katika shughulizake kwa Mungu kama Mohamedi kwa Allah!
Tuko Pamoja!
NIKUTAKIE PIA WEWE NA FAMILIA YAKO X MASS NJEMA NA HERI YA MWAKA MPYA
ReplyDeleteGOD JUL= KHERI YA CHRISTMAS! KWAKO NA FAMILIA YAKO. Upendo utawala Daima katika ninyi,na pia maandalizi meme kwa mwaka ujao.
ReplyDeleteNa nyie pia, mbarikiwe wote.
ReplyDeleteMubelwa Bandio yenu na wageni. Ubunifu na ubunifu kutoka picha za Jose Ramon Merry Christmas
ReplyDeleteHeri na kwako pia, mungu azidi kukupa nguvu na baraka tele kwa mwaka ujao wa 2010.
ReplyDeleteNakwako pia na familia yako kaka,mbarikiwe sana.
ReplyDeleteNashukuru kaka, nami naitakia familia yako heri ya sikukuu ya Noeli na mwaka mpya wenye furaha, upendo, mafanikio na amani teeeeeeele.
ReplyDeleteShukrani na wewe pia christmas njema, na twakutakia heri ya mwaka mpya
ReplyDeleteKheri ya Christmas
ReplyDelete