"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
Tuesday, August 21, 2012
Je Waafrika tujifunze nini Kutoka Olympic 2012
Tukio la mwisho la Olimpiki 2012 lililokuwa na washindi toka Afrika Mashariki ni mbio za Marathon, mitaani London . Ingawa mshindi hakutoka Bongo- wakimbiaji wetu watatu walishiriki kwa dhati bila mafanikio. Kabla ya kurudi nyumbani wanamichezo walialikwa na Ubalozi wetu Uingereza. Je, ilikuwaje? Nini kilizungumziwa? Na je , nini funzo au somo la mashindano haya kwetu sote?
Tafakari, chukua hatua na kuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mapunduzi katika tasnia ya Michezo Tanzania.
Asanteni,
Urban Pulse Creative wakishirikina na Freddy Macha
Ni kweli kutafakari baada ya tukio, lkini je tutatafakari hili hadi lini!
ReplyDelete