Yule mwanamuziki wa Bongo Flava malikia wa Zouk Hafsa Kazinja Mtunzi wa wimbo uliotamba na unaoendelea kutamba Presure alioshirikiana na Banana Zorro atatumbuiza Jumamosi Sept 22, 2012 kwenye ukumbi mpya wa Moto Lounge Laurel
Hafsa aliyesema kuwa siku hiyo "kutawaka moto" amewaomba waTanzania na jamii yao kuhudhuria kwa wingi kuuzima nakuondoa pressure
Msikilize hapa chini
Asante
No comments:
Post a Comment