![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBl3CjFyTT9kBZGwLJCwhjaR0Q8H2f2Hka1lOodtfjDMS46OIWkZO8rWYXPA799ci91WsNK2LZcgJglKkkRZ7m0kL_xnoZ6xoZaNFKreZCiGytdXIBCLQDhpDei2anhZWTgtbHy7QhUtA/s400/Nembo+Mpya+animation.gif)
Kama nilivyosema katika status yangu hukooo "usokitabu" na nairejea hapa chini.....
MIAKA 50 YA UHURU..........
Tunalohitaji ni MWALIMU wa kuwafuata wale waliopanga haya mashamsham ya uhuru kuhusu MIAKA 50 YA ELIMU YA UHURU ili waujue UHURU WA ELIMU na baada ya hapo wapewe ELIMU HURU ya kuwa HURU KIELIMU kuweza kuleta maendeleo nchini.
NAWAZA KWA SAUTI TUUUU!!!!!!
TUKUTANE "NEXT IJAYO" TUTAKAPOJADILI HILI.
No comments:
Post a Comment