Watanzania na jamii zao kutoka miji ya karibu na Washington DC leo wamejumuika kwa wingi katika ibada ya kumuaga ndugu, rafiki na mpendwa wetu Steina Mrema.
Baada ya mwili kuondoka, ulifuata wakati wa chakula na mazungumzo, nami nikabahatika kumpata rafiki wa muda mrefu na wa karibu wa Marehemu Steina Mrema ambaye alinieleza machache kuhusu Marehemu. Karibu umsikilize
SHUKRANI KWA WOTE WALIOSHIRIKI KATIKA KUFANIKISHA HILI.
MUNGU AWATANGULIE NDUGU WATAKAOSINDIKIZA MWILI KWA MAZIKO NYUMBANI TANZANIA.
2 comments:
Bwana alitoa bawana ametwaa. Marehemu astarehe kwa amani.
Poleni sana wafiwa, Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu kwenu.Mwanga wa Milele umwangazie eeBwana.....
Post a Comment