![]() |
Mubelwa Bandio akimhoji Fabian Lwamba wa KRYSTAAL |
Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana.
![]() |
Michael, Fabian na Alistone Lwamba wanaounda kundi la KRYSTAAL |
Wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26
Pia utamsikia ripota wetu Sebastian Atilio ambaye amerejea kutoka safari ya kupanda mlima Kilimanjaro.
![]() |
Sebastian Atilio na wenzake wakiwa kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro |
Yote haya na mengine mengi ni kwenye NJE-NDANI na Mubelwa Bandio, Jumamosi kuanzia saa 6 kamili kwa saa za Marekani mashariki (NOON EST) kupitia www.kwanzaproduction.com ama www.bordermediagroup.com
No comments:
Post a Comment