Sunday, April 18, 2021

AFRO KWANZA ya Kwanza Radio EP06 Aprili 17, 2021

Karibu kwenye show ya muziki wa kiAfrika ikiandaliwa na Mussa Yusuph.Leo utapata habari zaidi juu ya wasanii Oliver Ngoma, Tshala Mauna na Awilo Longomba. Kipindi hiki hukujia kila Jumamosi kuanzia saa kumi kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki, na marudio ni saa kumi jioni kwa saa za Marekani ya Mashariki. Tutakujia punde kupitia tovuti yetu www.kwanzaproduction.com Kwa sasa unaweza kusikiliza radio kupitia Radio Garden http://radio.garden/listen/kwanza-radio/ZUtbxgBv OnlineRadio Box https://onlineradiobox.com/us/kwanza/?cs=us.kwanza TuneIn https://tunein.com/radio/Kwanza-Radio-s290047/ Kama umekikosa, basi punde baada ya kupindi, bofya https://soundcloud.com/kwanzaproduction/afro-kwanza-ya-kwanza-radio-ep06-aprili-17-2021 https://soundcloud.com/kwanzaproduction/afrokwanza-ep05  

No comments: