
Tunawaombea muweze kuendeleza uvumilivu, kujitoa na kujali ambako mmeonesha wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
IDD NJEMA

"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
This is a modal window.
Beginning of dialog window. Escape will cancel and close the window.
End of dialog window.
3 comments:
Kuna kichaa huku kijijini kwetu alikuwa anataka kuchoma moto Kurani na kuharibu Eid Mubarak kwa Waisilamu wengi tu. Afadhali amesitisha ingawa bado hali ni ya hati hati:
http://matondo.blogspot.com/2010/09/uchomaji-wa-kurani-hapa-gainesville.html
Hongereni waisilamu wote na muwe na sikukuu njema!
Minal Faidhina Mube.
@Masangu, huyo jamaa alianzisha kanisa huko Ujerumani, alipoanza siasa kali na msimamo usiobadilika huko ikabidi wamwambie kama hawezi kupunguza makali, aishie. Akaamua kurudi kwao Marekani
sikukuu njema!
Post a Comment