Tuesday, October 14, 2008

Happy Birthday Brother Lusajo Anangisye

Ni mwaka mwingine kamili maishani mwako na naamini utaanza kwa mipango yenye mafanikio kuliko mwaka mwingine wowote uliopata kuwa nao. Mafanikio ni pamoja na kujivunia ushindi katika mengi yatukabiliayo na kujivunia huja baada ya mapambano, hivyo naamini utaendelea kupambana na maisha na sina shaka kuwa utayamudu kisha kujivunia huku ukitoa Sifa na Shukrani kwa mwezeshaji mkuu.
Kila la kheri katika kila jema utendalo na upangalo kutenda.
Happy Birthday Brother Sajo

No comments: