Sunday, December 7, 2008
Ras Nas ndani ya Dokkhuset, Trondheim, Norway
Ras NasMwanamuziki mkongwe wa miondoko ya muziki wa Dansi na Reggae, Nasibu a.k.a Ras Nas, yuko tayari kufanya vitu vyake katika jiji la Trondheim, Norway, usiku wa Ijumaa tarehe 12 Desemba. Kwa mujibu wa Ashley ambaye ni Meneja Uhusiano wa Kongoi Productions, katika onesho hilo linalotazamiwa kuwa ONESHO LA MWAKA, Ras Nas ametayarisha kikosi kikali chenye wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory Coast na Sweden. Kwa tahadhari, asiye na mwana itabidi aelekee jiwe! Shoo itaanza saa nne na nusu usiku. Kabla ya hapo DJ Roar Lund atakuwepo uwanjani kufyeka msitu.
Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa (kiinglish)
NYOTE MWAKARIBISHWA
Thursday, November 13, 2008
ISHIKE Radio part 10 from Dona Productions


ISHIKE Radio part 10 is uploaded and it has tons of New TZ/KE music.
Click the link http://www.djdona.com/mp3/DJ%20Dona%20ISHIKE%20RADIO%20Part%2010%20(YES%20WE%20CAN%20EDITION).mp3
Tracklisting
1. Intro
2. AY Feat P Square - Freeze
3. STL (Stella Mwangi) - Dreamer
4. Wahu feat Bobby Wine - Little things you do
5. Nonini Feat lady Bee- Kumbuka
6. K-Nel Feat Ben - ISHIKE RADIO Freestyle
7. Ngwair - Nipe Deal
8. Mejja, Mad Traxx, Jimwat - Mezesha
9. Chid Benz- King Kong
10. Big Pin feat Collo - Kadem
11. Bebe Cool Feat Gasuza- Sexy Thing
12. Mwasiti and Chid Benz - Haoo
13. Mad Traxx Feat Wyre- Serious
14. Fid Q Feat AY - Shimo Limetema
15. Kleptomaniax- Magnetic
16. Langa Feat Chidi Benz - Ninaposimama
17. Kaya - Fire Fire
18. Cloud Tissa Feat Nameless - Physically Fit
19. J Sha 4 - Play
20. Afande Sele- Heshima
21. Inspector Harun - Ndoa Haina Doa
22. Shena Feat Z-Anto - Fursa
23. Black Rhyno - Black Chata
24. Bombaa Clan - Does U R Mother Know
25. Blu 3 - Together
26. Kleptomaniacs Feat Ulopa - Psycho
27. Skool Fizz - Huku Majuu
28. Prezzo Feat Taz - Tupendane
29. Matonya feat FID Q - Taxi Babu
30. Ray C Ft Chidi Benz-Nihurumie
31. UB Feat Mr Lenny - Pesa
32. P-Square - Game Over
33. Grace - Anfuukula
34. Noorah - Mapenzi Sinema
35. Hydro - Swing That Back
36. Jua Cali featuring Mejja, Alahola, Rady, Ru, K-Solja and Linda
37. Alfayo - Physical
38. Bella - Faasi
39. G-Flow - Pepeta
40. Outro
Click the link http://www.djdona.com/mp3/DJ%20Dona%20ISHIKE%20RADIO%20Part%2010%20(YES%20WE%20CAN%20EDITION).mp3
Tracklisting
1. Intro
2. AY Feat P Square - Freeze
3. STL (Stella Mwangi) - Dreamer
4. Wahu feat Bobby Wine - Little things you do
5. Nonini Feat lady Bee- Kumbuka
6. K-Nel Feat Ben - ISHIKE RADIO Freestyle
7. Ngwair - Nipe Deal
8. Mejja, Mad Traxx, Jimwat - Mezesha
9. Chid Benz- King Kong
10. Big Pin feat Collo - Kadem
11. Bebe Cool Feat Gasuza- Sexy Thing
12. Mwasiti and Chid Benz - Haoo
13. Mad Traxx Feat Wyre- Serious
14. Fid Q Feat AY - Shimo Limetema
15. Kleptomaniax- Magnetic
16. Langa Feat Chidi Benz - Ninaposimama
17. Kaya - Fire Fire
18. Cloud Tissa Feat Nameless - Physically Fit
19. J Sha 4 - Play
20. Afande Sele- Heshima
21. Inspector Harun - Ndoa Haina Doa
22. Shena Feat Z-Anto - Fursa
23. Black Rhyno - Black Chata
24. Bombaa Clan - Does U R Mother Know
25. Blu 3 - Together
26. Kleptomaniacs Feat Ulopa - Psycho
27. Skool Fizz - Huku Majuu
28. Prezzo Feat Taz - Tupendane
29. Matonya feat FID Q - Taxi Babu
30. Ray C Ft Chidi Benz-Nihurumie
31. UB Feat Mr Lenny - Pesa
32. P-Square - Game Over
33. Grace - Anfuukula
34. Noorah - Mapenzi Sinema
35. Hydro - Swing That Back
36. Jua Cali featuring Mejja, Alahola, Rady, Ru, K-Solja and Linda
37. Alfayo - Physical
38. Bella - Faasi
39. G-Flow - Pepeta
40. Outro
Wednesday, November 12, 2008
Hatuwathamini kwa kuwa hatuwajui. Kwanini?
"Everyman must know their past, so we can stand firm in the future" Na haya yalisemwa na Morgan Heritage walipoimba juu ya KNOW YOUR PAST katika albamu yao ya More Teaching. Ni haya tunayokosa katika kujitambua ambayo "yanapelekea" kutotambua mlingano wa tulipo na tutokako. Na huu ni ukweli.
Hivi sasa inapofika Ijumaa, mimi na wenzangu wapenda "za kale" ama wengine wanaziita "zilipendwa" tunajimwaga ukurasa huu wa BONGO CELEBRITY kupata burudani hiyo. Ukiingia kwenye sehemu ya maoni utaona watu wanauliza hivi aliyeimba huo ni nani? Aliwahi kupigia bendi gani na wengine kutoa majina na miaka isiyo na hakika. Inasikitisha kuwa wasanii wetu NGULI ambao wamesaidia kuielimisha jamii, kuiburudisha na hata kutimiza matakwa ya viongozi kwa kuwakusanyia hadhira wanapojiandaa kuhutubia ama kukamilisha azma zao kama za Gezaulole wanasahaulika kwa kuwa tu wahusika hawafanyi wanalotakiwa. MASWALI NILIYONAYO
HIVI CHAMA CHA MUZIKI WA DANSI TANZANIA (CHAMUDATA) wako wapi kushindwa kuandaa, kutunza na kuenzi taarifa za wanamuziki wa Dansi nchini?
Kweli leo hii watu wanakosa habari, historia na hata kazi za wasanii walioiweka Tanzania kwenye ramani ya muziki barani kwetu? Leo hii tunakosa kuwajua kina Marijani Rajabu, Balisidya, Mbaraka Mwinshehe, Moshi William, Eddie Sheggy, Adam Bakari, Hemdi Maneti, Ndala Kasheba, Selemani Mwanyiro, Abeli Baltazar na wengine kwa kuwa tu hakuna pa kupata kumbukumbu zao?
Kweli kazi na maisha ya hawa wasanii mahiri yanapauka na kupotea kwa kuwa tu hakuna pa kupata kumbukumbu zao?
Kwanini Chamudata wasiwe na tovuti ya kueleza maisha ya wasanii WOTE wenye uanachama?
Nitasema ukweli kuwa wasanii waliojenga msingi wa sanaa nchini hawaheshimiki na kujulikana kwa kuwa wahusika hawafanyi wanalotakiwa kufanya.
Ni jambo la kusikitisha kuona wasanii wetu wamefanya kazi kuubwa sana wakati wa maisha na wapo wanoendelea kufanya hivyo, lakini HATUWATHAMINI KWA KUWA HATUWAJUI. Na swali ni Kwenini?
Huu ni MTAZAMO WA CHANGAMOTO YETU KWETU na ndivyo namna nionavyo tatizo. Labda ndilo tatizo.
Hivi sasa inapofika Ijumaa, mimi na wenzangu wapenda "za kale" ama wengine wanaziita "zilipendwa" tunajimwaga ukurasa huu wa BONGO CELEBRITY kupata burudani hiyo. Ukiingia kwenye sehemu ya maoni utaona watu wanauliza hivi aliyeimba huo ni nani? Aliwahi kupigia bendi gani na wengine kutoa majina na miaka isiyo na hakika. Inasikitisha kuwa wasanii wetu NGULI ambao wamesaidia kuielimisha jamii, kuiburudisha na hata kutimiza matakwa ya viongozi kwa kuwakusanyia hadhira wanapojiandaa kuhutubia ama kukamilisha azma zao kama za Gezaulole wanasahaulika kwa kuwa tu wahusika hawafanyi wanalotakiwa. MASWALI NILIYONAYO
HIVI CHAMA CHA MUZIKI WA DANSI TANZANIA (CHAMUDATA) wako wapi kushindwa kuandaa, kutunza na kuenzi taarifa za wanamuziki wa Dansi nchini?
Kweli leo hii watu wanakosa habari, historia na hata kazi za wasanii walioiweka Tanzania kwenye ramani ya muziki barani kwetu? Leo hii tunakosa kuwajua kina Marijani Rajabu, Balisidya, Mbaraka Mwinshehe, Moshi William, Eddie Sheggy, Adam Bakari, Hemdi Maneti, Ndala Kasheba, Selemani Mwanyiro, Abeli Baltazar na wengine kwa kuwa tu hakuna pa kupata kumbukumbu zao?
Kweli kazi na maisha ya hawa wasanii mahiri yanapauka na kupotea kwa kuwa tu hakuna pa kupata kumbukumbu zao?
Kwanini Chamudata wasiwe na tovuti ya kueleza maisha ya wasanii WOTE wenye uanachama?
Nitasema ukweli kuwa wasanii waliojenga msingi wa sanaa nchini hawaheshimiki na kujulikana kwa kuwa wahusika hawafanyi wanalotakiwa kufanya.
Ni jambo la kusikitisha kuona wasanii wetu wamefanya kazi kuubwa sana wakati wa maisha na wapo wanoendelea kufanya hivyo, lakini HATUWATHAMINI KWA KUWA HATUWAJUI. Na swali ni Kwenini?
Huu ni MTAZAMO WA CHANGAMOTO YETU KWETU na ndivyo namna nionavyo tatizo. Labda ndilo tatizo.
Saturday, October 18, 2008
Remembering Philips Lucky Dube.


Lucky katika onesho lake la Aug 25, 2007 Crossroads Entertainment Complex Bladensburg MD
Lucky na Back Up singers tar 25 Aug 2007 Crossroads Complex
Lakini wiki 7 baadae nikiwa bado nina kumbukumbu ya show ile nikapata habari za kuuawa kwake. Ilikuwa ngumu kuamini lakini ulikuwa ukweli kuwa mtu aliyetumia muda wake mwingi kupigania haki na usawa na upendo miongoni mwa jamii na kukemea maovu kama uporaji na mauaji, anajikuta akiwa mhanga wa yale aliyojaribu kuisaidia jamii kuondokana nayo.
Lucky alikuwa ASKARI anayepigania haki za kinamama na watoto, akipinga ubaguzi na ukandamizaji, akisimamia imani, kuelimisha kuhusu mfumo wa maisha upumbazao wengi, kutetea misingi ya muziki wa Reggae, Mapenzi, kuburudisha kwa hadithi za kusadikika ambazo ukweli wake upo katika jamii zetu na pia alikuwa mume kwa Zanele na baba kwa watoto wake 7. Ukisikiliza nyimbo zake nyingi, Lucky alikuwa ni msanii anayeelezea hadithi halisi tangu mwanzo wa nyimbo na unapomaliza kusikiliza wimbo unatambua alichokuwa akikisisitiza ama kukanya, ama kuelimisha. Ukisikiliza PRISON anaanza kwa kusema "somebody told me about this when i was still a little boy. He said to me crime does not pay, education is the key. As a little boy i thought i know what i was doing. But today here i am. I'm a Prisoner". Sikiliza wimbo wake wowote utaweza kuona mpangilio wa mashairi katika kueleza atakacho na hicho kilimtofautisha saana na wasanii wengine.
Sikiliza pia uhusiano wa midundo na ujumbe katika nyimbo zake utatambua kuwa alikuwa na uwezo wa kuiweka hadhira katika utayari wa kupokea ujumbe kwa mirindimo iendanayo na ujumbe katika wimbo
Lucky Dube katika miaka 25 aliyoshiriki katika sanaa hii ya muziki aliweza kutoa jumla ya albamu 23 ambazo 6 kati yazo alitoa katika mahadhi ya Mbaqanga, 1 katika mahadhi ya Afrikaans na 16 katika mahadhi ya Reggae. Ni mahadhi ya Reggae yaliyompa nafasi ya kutambulika, kuheshimika na kuelimisha jamii kwa upana wake ambako katika albamu hizo ameimba kuhusu mambo mengi yanayoathiri maisha yetu ya kila siku miongoni mwao ikiwa ni pamoja na Haki za wanawake na watoto (Hold On, Little Heros, God Bless the women), Mahusiano na Mapenzi (Romeo, Never Leave You, I've got you babe, Big Boys Dont cry, Lovers in a dangerous time, How will i know, Release Me) , Siasa (Political Games, Monster, Is This Freedom, Guns and Roses, The Way It Is, Together as one,) Maisha ya kufikirika (My World, Divorce Party,), Ubaguzi (Together as One, Trinity), Maovu (Crime and Corruptions, War and Crime, Crazy World, mfumo wa maisha upumbazao watu (Other side, Shut Up, Affirmative action, Love Me the way i am), ya kale na ya sasa (Changing world, Money Money), Imani (Take it to Jah, Shembe, Rastas,) na hata muziki ( Reggae is strong, Back to my roots, We Love It, Seriouss Reggae Bussiness).
Lucky Dube katika miaka 25 aliyoshiriki katika sanaa hii ya muziki aliweza kutoa jumla ya albamu 23 ambazo 6 kati yazo alitoa katika mahadhi ya Mbaqanga, 1 katika mahadhi ya Afrikaans na 16 katika mahadhi ya Reggae. Ni mahadhi ya Reggae yaliyompa nafasi ya kutambulika, kuheshimika na kuelimisha jamii kwa upana wake ambako katika albamu hizo ameimba kuhusu mambo mengi yanayoathiri maisha yetu ya kila siku miongoni mwao ikiwa ni pamoja na Haki za wanawake na watoto (Hold On, Little Heros, God Bless the women), Mahusiano na Mapenzi (Romeo, Never Leave You, I've got you babe, Big Boys Dont cry, Lovers in a dangerous time, How will i know, Release Me) , Siasa (Political Games, Monster, Is This Freedom, Guns and Roses, The Way It Is, Together as one,) Maisha ya kufikirika (My World, Divorce Party,), Ubaguzi (Together as One, Trinity), Maovu (Crime and Corruptions, War and Crime, Crazy World, mfumo wa maisha upumbazao watu (Other side, Shut Up, Affirmative action, Love Me the way i am), ya kale na ya sasa (Changing world, Money Money), Imani (Take it to Jah, Shembe, Rastas,) na hata muziki ( Reggae is strong, Back to my roots, We Love It, Seriouss Reggae Bussiness).
Lucky Dube aliuawa na watu wanaodhaniwa kutaka kupora gari lake mbele ya nyumba ya nduguye alipotoka kuwapeleka wanawe usiku wa tarehe 18 Oktoba 2007. Ni kama alivyoimba katika wimbo wake wa CRIME AND CORRUPTON kuwa "do you ever worry about leaving and coming back in a coffin, with bullets in your head" ndivyo haswa ilivyokuwa hatima ya maisha yake. Kama alivyoimba katika Reggae Is Strong kuwa "Nobody can stop reggae" ndivyo kazi zake zinavyoendelea kuielimisha jamii kila kuikicha licha ya maisha yake kusimamishwa.
Kazi zake zitaendela kuburudisha, kuelimisha na kuikomboa jamii kutoka utumwa wa kiakili bila kikomo.
REST IN PEACE LUCKY
Subscribe to:
Posts (Atom)















