Saturday, August 15, 2009

FFU wa Ngoma Africa katika Makamuzi ya hatari! AFRILU Festival!

FFU wa Ngoma Africa band! wakiwa katika makamuzi ya hatari hatari! kwenye onyesho la AFRILU Festival mijin Ludwigshafen,Ujerumani, ambako onyesho hilo la ijumaa ,liliwatia kiwewe washabiki na kukubali kuwa "Bongo Dansi" la FFU wa Ngoma Africa ni virungu vya kimataifa
Wasikilize hapa http://www.myspace.com/thengomaafrica

Habari na picha kwa hisani ya Msemakweli.

No comments: