Showing posts with label Waliwaza nini??. Show all posts
Showing posts with label Waliwaza nini??. Show all posts

Tuesday, May 21, 2013

TBC....Oneeni huruma kodi zetu basi!!!

Yaani hata mnapoambiwa mara tatu na zaidi bado ham'badili tovuti yenu tuuuuuuu!!!
Ina maana makusanyo yote hayo mpatayo hamuwezi kuwa na mtu wa IT?
Ukisoma utaona maelezo kwenye ukurasa huu nilioubandika hapa chini yanasema Taji Liundi ni mkuu wa Idhaa japo alikaririwa akisema kuwa alishatoka TBC
Maelezo hayohayo yanasema watazindua kituo 2009 japo ukurasa ulikuwa updated 2010
Ngoja niwanukuu nisipoteze uhondo "It is proposed that the official launch of TBC International to be January 1 2009. 
COMING SOON 
Last Updated ( Friday, 05 November 2010 03:35 ) "
NAWAPENDAJE TBC??????

Wednesday, May 1, 2013

Bin'Adamu....apumzikaye kusherehekea SIKU YA KAZI



Photo Credits: May day 2013 fun photos 
e the headline 'Psychic Wins Lottery'?
-Why is 'abbreviated' such a long word?
-Why is it that doctors call what they do 'practice'?
-Why is lemon juice made with artificial flavoring, and dish washing liquid made with real lemons?
-Why is the man who invests all your money called a broker?
-Why is the time of day with the slowest traffic called rush hour?
-Why isn't there mouse-flavored cat food?
-Why didn't Noah swat those two mosquitoes?
-Why do they sterilize the needle for lethal injections?
You know that indestructible black box that is used on airplanes? Why don't they make the whole plane out of that stuff?!
-Why don't sheep shrink when it rains?
-Why are they called apartments when they are all stuck together?
If flying is so safe, why do they call the airport the terminal?

HIVI TUNAWAZA NINI?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Thursday, October 18, 2012

Miaka 5 baadae. Phillips Lucky Dube.....Aliwa(ga) nini?

Ikiwa ni miaka mitano tangu kuuawa kwake, nimeona ni vema kurejea bandiko langu hili kumhusu. Kuhusu sanaa yake na namna alivyounganisha maudhui ya nyimbo zake.
Najiuliza....ALIWAZA(GA) NINI? 
KARIBU.

LUCKY is What We Are! (click here) Ndivyo alivyoweza kueleza kwa ufupi mchambuzi Larry Leiber wa ReggaeMovement.com NAMI NAKUBALIANA NAYE.
Nimeshaandika mara kadhaa kuhusu msanii huyu Philips Lucky Dube. Nimekuwa nikimfuatilia kwa ukaribu kwa miaka 9 sasa tangu nilipopewa CD yake na Kaka Philbert Kiyenjeo (nuff respect Kaka) ambayo ilikuwa ni The Best of House of Exile, Slave & Prisoner. Nikirejea kwa ufupi kuhusu nipendacho kumhusu ni kuwa alikuwa akiandika na kuimba nyimbo ambazo ni HADITHI KAMILI na alitumia lugha nyepesi na pia midundo iendanayo na uhalisia wa tukio. Ni kati ya wasanii wachache ambao wamefanikiwa KUNIWEKA katika fikra za tukio kwa uhalisia wake. Pia Lucky Dube anafahamika kwa kueleza visa viiingi vya kweli ambavyo ama amekumbana navyo au vimetokea kwenye jamii yake. Mfano wa nyimbo ambazo zinaniweka kwenye UHALISIA WA TUKIO ni ule aliouimba akizumzungumzia Askari ambaye alikuwa amereja toka vitani ambako yaonekana alikwenda bila hiari (kama ilivyo kwa askari wengi) na kurejea akwa na MSONGO WA MAWAZO na MAJUTO juu ya mauaji aliyoyafanya huko vitani na hasa ya watoto. Na sasa alikuwa amechoshwa na NDOTO NA SAUTI za aliowaua na alikuwa tayari kujiua.
Tangu nimeanza kuusikiliza wimbo huu 2003, sijachoka na bado nausikiliza. Tulishaujadili hapa na waweza kuurejea kuusikiliza na kusoma lyrics zake HAPA. Lakini jambo ambalo bado nawaza kuhusu Lucky Dube ni uwezo wake wa kuwaza kitu ambacho kipo, na ambacho kingeweza kutendeka kwa namna fulani lakini hakikutendeka hivyo japo kinaleta maana halisi ya fikra ya kutendeka kwake. Yaani alikuwa na uwezo mkubwa saana wa KUSADIKI habari ama tukio ama maisha halisi kwa namna ambavyo yanaweza KUSADIKIKA. Alieleza, kuuliza ama kufafanua utata ama fumbo ama mwenendo fulani wa maisha kwa namna ya kipekee.
Tunaweza kuangalia baadhi ya nyimbo kuwaza kwa pamoja kuwa ALIWAZA NINI??
Kwanza tuanze kutafakari nyimbo DIVORCE PARTY na COOL DOWN ambazo ni kutoka katika albamu yake ya The Other Side.
DIVORCE PARTY unaeleza familia ambayo ilikuwa ikijifurahisha kwa sherehe mbalimbali na sasa wameamua kuwaalika watu wakisherehekea kutengana kwao. Sikiliza mwenyewe hapa chini na lyrics zake waweza kuzipata HAPA
 

Na wimbo huu wa COOL DOWN ni kuhusu wapenzi ambao wameoana kwa miaka 17 lakini wameonekana kufumaniana. Lakini kila mmoja anampooza mwenzie kuwa "Pooza munkari Mpenzi, hakuna la kukufanya uwe na shaka kwani kila kitu kiko kama kinavyotakiwa kuwa. Haijalishi ni wapo "ntapata hamu", nitakula nyumbani"
Labda ukiusikiliza hapa chini utaweza kutafakari alichokuwa akiwaza kuandika nyimbo hizi
Waweza fuatilia lyrics zake HAPA
 

Pia aliimba wimbo uitwao SOLDIERS FOR RIGHTOUSNESS ambao ulizungumzia "ASKARI" wa haki wanavyotakiwa kuwa na walivyo tishio kwa wanyonyaji na wanyanyasaji katika jamii. Ameueleza ki-utani na kwa kufurahisha lakini unaweza kupata ujumbe halisi.
Sikiliza wimbo huo hapa chini kisha waza uzito wa ujumbe, midundo, UKWELI uliopo ndani mwake. Lyrics zake zapatikana HAPA
 

Lucky pia aliwahi "kuingia akilini" mwa watoto na kueleza raha ya utoto kwa namna ya pekee. Lakini pia alieleza KARAHA iwapatao wale matajiri tunaoweza amini kuwa wana kila sababu ya kufurahi. Alifanya hivyo katika wimbo wake MY WORLD ambao waweza usikiliza hapa chini kutambua utundu aliokuwa nao katika kueleza utoto, utajiri, chanzo cha furaha na kufuta dhana potofu kuwa pesa ni chanzo cha furaha. Lyrics za wimbo huu zapatikana HAPA
 

Dube aliwahi pia kuweka CHEMSHA BONGO kuubwa akiuliza ni kipi ama nafasi gani ungependa kuwepo? Ya Mfungwa / Mtumwa alishwaye akasaza ama Mtu huru afaye njaa?
Wimbo wake WELL FED SLAVE OR HUNGRY FREE MAN unadhihirisha haya. Usikilize hapa chini
 

Na mwisho labda nigusie ile "dhana" ambayo nimeisikia mara kadhaa ya "kubusu chura akageuka mwana mfalme". Ni dhana kama ilivyo dhana nyingine. Lakini katika wimbo wake wa KISS NO FROG, Lucky Dube anaelezea namna ambavyo binti alijitahidi kumuiga mamake kila kitu, akawa na karibu kila kitu kasoro bwana amfaaye. Akasikia kuhusu hiyo "fairytale" kuwa ukim'busu chura atageuka mwana mfalme avutiaye. Lakini kajaribu tena na tena na tena bila mafanikio na ndiopo "alipojipata mwenyewe" na kutambua kuwa hastahili hilo. Na ndipo alipoweka dhamiri kuwa HATABUSU CHURA TENA.
Chura aweza kuwa chochote maishani. Anaweza kuwa kazi yako ama mambo mengi unayojitahidi kuyafanya bila mafanikio na ambayo unaamini ni chanzo cha furaha kwako (kama binti huyu alivyoamin) lakini akaja kugundua kuwa "better be alone and be happy than be with someone and be unhappy" WAZAMsikilize hapa chini akisema KISS NO FROG. Aliwaza nini kutunga hivi??
 

Lyrics zake waweza zifuatilia HAPA
Ninalowaza na kupongeza ni namna anavyoweza kutumia matani, mizaha na akili za kusadiki katika kueleza UJUMBE HALISI alionao.
Binafsi ntamkumbuka saana kwa kazi alizofanya na wengi watanufaika na hazina kuubwa ya MAFUNZO NA UELEKEZI ndani ya nyimbo zake.
Na ndio maana GRAMPS wa Morgan Heritage aliamua (katika albamu yake ya kwanza kama msanii wa kujitegemea) kumuenzi Lucky Dube kwa kibao mwanana ALWAYS & FOREVER.
Kisikilize hapa chini
 

Shukrani za pekee kwa Da' Mkubwa Subi kwa kufanikisha kupatikana kwa wimbo Always and Forever

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Monday, September 3, 2012

Bin'Adamu....apumzikaye kusherehekea SIKU YA KAZI

Photo Credits: St Thomas Aquinas Pack 7 
Ni SIKU YA KAZI. Ama niseme kuthamini kazi. Ama siku ya wafanyakazi. Lakini vyovyote iwavyo, ni siku ambayo wengi wetu hapa Marekani tunakuwa na "siku ya mapumziko".
NDIO, DAY OFF katika kusherehekea SIKU YA KAZI.
Mmmmmhhh!!!
Umeona eeee?
Nilishaandika kuhusu kinyumenyume cha Bin-adamu katika kutenda, kunena na kuwaza. Kuwa kwanini tuwazishwe vitu kwa namna nyingine?
Kwanini nchi nyingi Afrika zisherehekee UHURU kwa staili ya gwaride kama la WAKOLONI WALIOTUTAWALA?
Kwanini siku ya wakulima isherehekewe mjini, na wapatao "day off" ni wale wasio wakulima ilhali wakulima hawapati sherehe yoyote siku hiyo?
Ni kwenye muendelezo huu wa KWANINI, najikuta naleta MASWALI YAFUATAYO, ambayo nilitumiwa na rafiki yangu, na si mawazo yangu.
TUMUWAZE BIN'ADAM NA UNAFIKI WA MAWAZO YA KIMATENDO.
Soma kisha uwaze, "bin'adamu anawaza nini kutenda atendayo?"
Japo nilitumiwa NICHEKE, lakini yaliniwazisha pia

-Why do supermarkets make the sick walk all the way to the back of the store to get their prescriptions while healthy people can buy cigarettes at the front?
-Why do people order double cheeseburgers, large fries, and a diet coke.
-Why do banks leave vault doors open and then chain the pens to the counters.
-Why do we leave cars worth thousands of dollars in our driveways and put our useless junk in the garage.

EVER WONDER .......
-Why the sun lightens our hair, but darkens our skin?
-Why can't women put on mascara with their mouth closed?
-Why don't you ever see the headline 'Psychic Wins Lottery'?
-Why is 'abbreviated' such a long word?
-Why is it that doctors call what they do 'practice'?
-Why is lemon juice made with artificial flavoring, and dish washing liquid made with real lemons?
-Why is the man who invests all your money called a broker?
-Why is the time of day with the slowest traffic called rush hour?
-Why isn't there mouse-flavored cat food?
-Why didn't Noah swat those two mosquitoes?
-Why do they sterilize the needle for lethal injections?
You know that indestructible black box that is used on airplanes? Why don't they make the whole plane out of that stuff?!
-Why don't sheep shrink when it rains?
-Why are they called apartments when they are all stuck together?
If flying is so safe, why do they call the airport the terminal?

HIVI TUNAWAZA NINI?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Monday, September 5, 2011

Bin'adam "TENA"....Na maisha KINYUMENYUME

Photo Credits: St Thomas Aquinas Pack 7
Ni SIKU YA KAZI. Ama niseme kuthamini kazi. Ama siku ya wafanyakazi. Lakini vyovyote iwavyo, ni siku ambayo wengi wetu hapa Marekani tunakuwa na "siku ya mapumziko". NDIO, DAY OFF katika kusherehekea SIKU YA KAZI. Mmmmmhhh!!! Umeona eeee?
Nilishaandika kuhusu kinyumenyume cha Bin-adamu katika kutenda, kunena na kuwaza. Kuwa kwanini tuwazishwe vitu kwa namna nyingine?
Kwanini nchi nyingi Afrika zisherehekee UHURU kwa staili ya gwaride kama la WAKOLONI WALIOTUTAWALA?
Kwanini siku ya wakulima isherehekewe mjini, na wapatao "day off" ni wale wasio wakulima ilhali wakulima hawapati sherehe yoyote siku hiyo?
Ni kwenye muendelezo huu wa KWANINI, najikuta naleta MASWALI YAFUATAYO, ambayo nilitumiwa na rafiki yangu, na si mawazo yangu.
TUMUWAZE BIN'ADAM NA UNAFIKI WA MAWAZO YA KIMATENDO.
Soma kisha uwaze, "bin'adamu anawaza nini kutenda atendayo?" Japo nilitumiwa NICHEKE, lakini yaliniwazisha pia
-Why do supermarkets make the sick walk all the way to the back of the store to get their prescriptions while healthy people can buy cigarettes at the front?
-Why do people order double cheeseburgers, large fries, and a diet coke.
-Why do banks leave vault doors open and then chain the pens to the counters.
-Why do we leave cars worth thousands of dollars in our driveways and put our useless junk in the garage.

EVER WONDER .......

-Why
the sun lightens our hair, but darkens our skin?
-Why can't women put on mascara with their mouth closed?
-Why don't you ever see the headline 'Psychic Wins Lottery'?
-Why is 'abbreviated' such a long word?
-Why is it that doctors call what they do 'practice'?
-Why is lemon juice made with artificial flavoring, and dish washing liquid made with real lemons?
-Why is the man who invests all your money called a broker?
-Why is the time of day with the slowest traffic called rush hour?
-Why isn't there mouse-flavored cat food?
-Why didn't Noah swat those two mosquitoes?
-Why do they sterilize the needle for lethal injections?
You know that indestructible black box that is used on airplanes? Why don't they make the whole plane out of that stuff?!
-Why don't sheep shrink when it rains?
-Why are they called apartments when they are all stuck together?
If flying is so safe, why do they call the airport the terminal?

HIVI TUNAWAZA NINI?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Tuesday, August 30, 2011

Mmmmmhhh!!! Kama navutiwa "kuibiwa" vileeeee!!!

Mimi nawe tunajua kuwa hii ni BAHATI NASIBU. Na aliyeshiriki ama alikuja na namba zake na kuchagua kununua hapo, ama alikuja kisha mashine ikamchagulia namba "randomly".
Lakini hata kabla ya hapo, tukumbukuke kuwa hata mteja huyo kuingia humo kununua (miongoni mwa sehemu nyingi zinazouza tiketi hizo) ni bahati.
Nawaza uhalali wa mwenye duka kutumia BAHATI ya KUBAHATIKA kupata M'BAHATISHA huyu aliyeBAHATIKA kuBAHATISHA hizo robo milioni kutangaza kuwa duka lake lina BAHATI.
Hivi aliwaza nini?????

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, August 7, 2011

Niwazapo yamhusuyo ama kuwahusu ma"RAHISI" wetu

Sijui ni kwanini tunaiga mengi lakini hatupendi kuiga mengi-ne ambayo yaendana na mengi hayo? Yaani "tunaigilishwa" Demokrasia lakini bado tunaambiwa ndani mwake kuna "yasiyoendana na mila na tamaduni zetu". Na hapo ndipo ninapokuja kuwaza KWANINI TUIGE BASI?
Jana nimesoma (kupitia mitandao) kuwa mchakato wa kampeni jimbo la IGUNGA unaelekea kushika kasi. Nikakumbuka lileee suala la matangazo ya uzinduzi wa kampeni za CHAma cha DEmokrasia na MAendeleo (CHADEMA) kukatishwa na kituo cha televisheni ya Taifa (TBC1) kwa kile kisemekanacho kuwa mkutano huo ulianza kuzungumzia watu binafsi.
Hizi zilikuwa habari za kusikitisha lakini si za kushangaza hata kidogo kwa nchi yetu.
Upashanaji habari kwa waTanzania wala si jambo la HAKI, bali UTASHI. Na niliwahi kuuliza TAARIFA.......HAKI YA WANANCHI AMA? (irejee hapa).
Lakini tuachane na upashanaji habari pekee. TUANGALIE VIONGOZI WETU
Unakumbuka alichoandika Da Subi kuhusu hotuba za Mwl Nyerere?(hapa). Yaani baadhi ya watu wanazuia hata HOTUBA ZA Mwl NYERERE (zirejee hapa) kusikika ama kuchapishwa ati kwa kuwa hawana HAKIMILIKI.
Ni kweli kuwa tatizo ni hakimiliki? Ama kwa kuwa ZITAWAZINDUA WANANCHI KUHUSU LIENDEALO DUNIANI?
Hivi majuzi nimemsoma Kaka Ngurumo namna alivyotishwa na serikali juu ya maswali yake magumu (rejea hapa) kisha nikawaza, kama Rais akiulizwa maswali haya anakuwa mkali, ingekuwaje kwa Pink aliyemuomba Rais Bush "kutembea naye na kumuuliza" haya hapa chini?


Ama angefanywa nini msanii yeyote kama angeamua kuunga hotuba za Rais na pichaze kama alivyofanya binti huyu hapa chini?


Labda ufike wakati watu wapewe haki ya kusema kile waaminicho kuwa sahihi kisha mahakama iwajibike kuwahoji na kuwataka wathibitishe wasemacho na si vyombo kama Maelezo na TBC kuwa wahukumu wa kisemwacho juu ya viongozu na hata umiliki wa hotuba hizi za viongozi muhimu kama Baba wa Taifa.
***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Sunday, July 10, 2011

Milionea...... bado anakusanya taka....ANAWAZA NINI?

Photo Credits: Dailymail.co.uk
UKISHINDA MILIONI KADHAA (tena namaanisha dola milioni kadhaa) UTABADILI VIPI MAISHA YAKO?
Nakumbuka mwaka 2000 nilikuwa nikiongea na Kaka yangu Lwaga Anangisye na katika maongezi akazungumza suala la NDOTO. Yeye aliliweka kwenye "lugha ya msisitizo" aliposema DREAMS. Kisha akasema neno ambalo mpaka leo likingali akilini mwangu. Kwamba "watu wengi wanaishia kutofanikiwa hata wanapopata nafasi kwa kuwa wanakuwa hawajajiandaa." Akasema kuwa wengi wetu hatuangalii lolote lililo zaidi ya uwezo wa sasa. Kisha akaniuliza, "ukipewa milioni moja sasa hivi ufanyie jambo la maana, utafanya nini?" Hilo pekee lilikuwa SWALI TOSHA KUNIAMSHA.
Nimekumbuka hilo baada ya kusoma kuhusu Bw Tyrone Curry. Mwanaume ambaye alishinda dola milioni 3.4 lakini bado anaendelea na kazi yake ya kusafisha vyoo na kukusanya takataka
Mzoa taka huyu ambaye aliwahi kuwa mwalimu, sasa ana kazi ya pili shuleni hapo ambayo ni kocha. Na kati ya zawadi alizotoa kwa shule "anayoitumikia" ni kuinunulia timu yake gari jipya lenye thamani ya dola 40,00.
Suala hapa ni kwamba licha ya kushinda dola milioni 3 na zaidi, Tyrone alipoulizwa kwanini anaendelea kufanya kazi anasema "You need to be doing stuff: That’s my philosophy.” Anapoulizwa kwanini anaendelea kuishi katika nyumba ya awali na hajabadilika, anasema "My mom was the mother of the neighborhood. All the kids came to our house, so that’s why my home is open, too. People come, they eat, and they have fun. Before I won the money, I struggled. Sometimes I fell behind, but I always remember my mom’s words: ‘You can have somethin’, but that person next to you might not have anything. If you look out for that someone, they’ll look out for you.’" na kisha kuhusu maisha yao (kama familia) anasema hayabadilika na "We don't even go out to dinner. We cook at home.”
Na ndio maana nikaanza kwa swali nililoanza nalo. ALIWAZA / ANAWAZA NINI KUFANYA KAZI LICHA YA UTAJIRI ALIONAO?
Tazama video inayomhusu hapa chini.



***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, June 26, 2011

Unapowaza "kisicho halali" kama njia halali ya kupata "kilicho halali"

Photo Credits: Yahoo! News
Kwa wale watembeleaji wa blogu hii kwa muda mrefu kiasi, watakumbuka bandiko hili nililoeleza kuhusu hali ambayo niliamini kuwa Mimi na yeye sote tuko sahihi. Na sote hatuko sahihi. Nilizungumzia tatizo la gharama za afya hapa Marekani hasa kama huna bima ya afya. NI AGHALI SANA.
Wiki hii nikakumbana na habari ya Bw James Verone (pichani juu) ambaye baada ya kuwa na maumivu kwa muda mrefu, aliamua kutafuta namna ya kupata matibabu na pale alipokosa namna HALALI ya kupata HUDUMA HALALI YA AFYA, akaamua kufikiria njia inayoaminika na kuchukuliwa kama SI HALALI. Ya KWENDA KUPORA BENKI. Lakini dhamira haikuwa kuondoka na pesa, bali kutenda kinachoonekana kuwa ni kosa ili apelekwe jela ambako kwa mujibu wa sheria anastahili kuhudumiwa na serikali. Hivyo akaenda benki na kumpa mhudumu wa benki "note" kwamba anataka DOLA MOJA. Kama ilivyo katika taratibu za uporaji wa benki, mhudumu akaita polisi wakati "Babu" akisubiri kukamatwa. Verone ananukuliwa akisema "I told the teller that I would sit over here and wait for police."
Ni kweli. Alikamatwa, akapelekwa jela ambako amesema kama hukumu yake haitakuwa kali, basi atamwambia jaji kuwa atarudia kufanya alilofanya.
Lakini "mpango wa awali na mkuu" umeshaanza kuonekana kufanikiwa. Tayari Verone ameonana na nesi na alikuwa amepangiwa kuonana na daktari Ijumaa iliyopita. Anataraji kuonana na daktari hivi karibuni kutibiwa mgongo na kifua vinavyomsumbua na kisha kutumikia kifungo chake mpaka atakapotoka ambapo anaamini utakuwa ni muda wa yeye kuanza kukusanya mafao yake ya uzeeni.
Kwenye bandiko hili niliwahi kuandika kuhusu wimbo wa Lucky Dube uliokuwa ukiuliza "Do you wanna be a Well-fed slave or a hungry-free man?". Katika wimbo huo, Lucky Dube aliuliza
"What is the point in being free when you can` t get no job?
What is the point in being free when you can` t get food?
What is the point in going out to work when others can get for free?
What is the point in being free when you don` t have no home?
Now you` ve heard it all it is time to make up your own mind.
To be or not to be........
Do you wanna be a well fed slave or a hungry free man"

Pitia usome na uwaze.
Kusoma habari kamili ya "mpango" wa James Veron, BOFYA HAPA ama ANGALIA VIDEO YA MAHOJIANO YAKE.

Swali pekee ninalojiuliza ni kuwa ALIWAZA NINI? Na pengine ni wangapi wanaowaza awazavyo yeye?
NAWAZA KWA SAUTI TUUU!!!!!!

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, June 5, 2011

WALIWAZA NINI?????? Kweli kila mtu na "ngekewa" yake

Picha ya maktaba ikionyesha ndege ikisindikizwa na ndege ya jeshi kuelekea uwanjani kutua
Kama ilikupita, basi habari ni kwamba siku ya jumapili Mei 29, ndege ya United Airlines iliyokuwa na abiria 144 katika safari nambari 990 kutoka uwanja wa ndege wa kimtaifa wa Washington Dulles kuelekea Ghana ililazimika kurejea Dulles, ikiwa imesindikizwa na ndege mbili za kijeshi za F-16. Kisa?....Abiria walikuwa wakipigana ndani ya ndege baada ya mmoja kutaka "kulaza kiti" huku akipuuza ombi la aliye nyuma yake la kutofanya hivyo. Kilichofuata ni ugomvi wa masumbwi ambao ulisababisha usumbufu kwenye ndege hiyo. Ndipo rubani alipokiarifu chumba cha kuongoza ndege kuwa licha ya kwamba abiria walikuwa wameketi, lakini hawakuwa chini ya ulinzi na hakudhani kuwa ilikuwa jambo la busara kuendelea na safari. Labda kuna ukweli kwamba alihofia kinachoweza kutokea wakishaanza masaa kadhaa ya kukatisha bahari ambako asingekuwa na mahala pa kufanya "emergency landing" hivyo akaona ni bora arejee Dulles "kuwashusha". Lakini pia kumekuwa na hisia kwamba magaidi wanaweza kuanzisha kile kinachoweza kuonekana kama UGOMVI baina yao katika harakati za kufanya uhalifu wao.
Sikiliza mawasiliano baina ya rubani na mnara wa kuongoza ndege hapa chini

Ni katika hilo, rubani aliongea na mnara wa kuongoza ndege na kisha ikaamuliwa kwamba ndege hiyo izunguke Washington kwa dk 25 kupunguza mafuta. Ikumbukwe kwamba ndege ya Boeing 767 ina uwezo wa kubeba galoni 16,700 za mafuta, na kwa mwendo wa maili 5000 kwenda Accra, inahitaji karibu kiasi hicho. Lakini pia licha ya uwezo wa kubeba kiasi hicho ambacho ni sawa na tani 57, inaweza kutua nayo. Moja ya ndege za United Airlines Boeing 767. Ni kama ile iliyorejeshwa uwanjani kutokana na ugomvi wa abiria.
Anyway...Mara baada ya uamuzi wa kuirejesha Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo nje kidogo ya Virginia, ndege hiyo iligeuza na kurejea, na punde ilipoingia kwenye anga la Washington DC, ndege mbili za kivita za F-16 zikaizingira ndege hiyi (zikiwa futi 1000 juu yake) mpaka ilipotua. Safari ikaahirishwa mpaka kesho yake.
La kushangaza (kwa upeo wangu) ni kuwa askari waliitwa, wakawaona wahusika na kisha wakawaachia bila kuwafungulia mashitaka yoyote.
1: Yaani watu wamecheleweshwa kwa usiku mzima.
2: Ndege imelazimika kutua na mafuta kuliko inayostahili kutua nayo (kwa wenzangu mnaojishughulisha na vifaa vya usafiri huu mnajua uchunguzi utakaotakiwa kufanyika kuhakikisha iko salama)
3: Ndege za kivita zimerushwa kusindikiza ndege hiyo.
4: Ndege imezunguka kwa dk 25 kuchoma mafuta ili kutua na kisha kujaza kwingine ili wasafiri waondoke na kisha wanasema watu hao hawana makosa?
NI WANGAPI WAMECHELEWA SHUGHULI ZAO kwa kuwa walilazimika kulala Virginia badala ya kuamkia Ghana? Mafuta ya ndege za kivita yanalipwa na nani? Mzunguko mzima wa marubani na ratiba ya ndege je?
NA KAMA HAWAKUFUNGULIWA MASHITAKA.......BASI KWELI WANA "NGEKEWA YAO"
Nadhani wangewekwa mlangoni ili kila anayetoka kwenye ndege "awagonge makwenzi mawili".

Lakini la kuwaza hapa ni kuwa WALIWAZA NINI kupigana kiasi hicho ndani ya ndege? Na je kampuni ya United Airline ambayo haikuwa na mtu wa kuzuia wasafiri hawa, wataeleza vipi kuhusu usalama wa abiria wao? WANAWAZA NINI KUSAFIRISHA WATU WOTE BILA MTU WA KUTULIZA GHASIA?
NAWAZA KWA SAUTI TUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Tuesday, May 10, 2011

Ati nini? Soma mwenyewe uone

Niliwahi kusimuliwa kuhusu rafiki wa mwanafunzi mwenzangu ambaye hujifunza kupiga gitaa wakati anaendesha. NDIO. Gitaaa. Watu wakashangaa. Lakini hii niliyotumiwa leo sikuwahi kufikiria. Ati mtu anajinyoa "hoohah" yake ilhali anaendesha? Soma hiki kisha waza ALIWAZA NINI?
IMEANDIKWA NA Celia Rivenbark. Mwandishi wa vitabu kadhaa kikiwemo "You Can't Drink All Day If You Don't Start in the Morning," Kujua zaidi kuhusu yeye, tembelea tovuti yake HAPA

By now I'm sure that most of you have heard about the Florida woman who caused a two-vehicle wreck because she was shaving her bikini area while driving.
Guess that makes the time you drove with your elbows while eating a Whopper seem downright virtuous, doesn't it? Florida Highway Patrol troopers said the car Megan Barnes was driving crashed into the back of a pickup truck at about 45 mph. Her reaction time was slowed down because she was too busy grooming her hoohah to pay attention to the road. Oh, like that's never happened to you?
Ms. Barnes told the investigating officer that she was on her way to a date and "wanted to be ready for the visit."
Yes, she wanted to look her best. All over. Except, well, we've seen Ms. Barnes' mug shot and she appears to have a face that would stop a clock and raise hell with small watches, bless her heart. To be blunt, I don't think a perfectly groomed love rug could possibly make that much difference.It could've been worse, I suppose. Ms. Barnes could've been waxing her bikini area as she drove along in her T-bird (Yes, fun, fun, fun till the po-lice took her T-bird awaaaaaayy) on those scenic bridges. Imagine the horror if she'd tossed the used wax strips out the window. The manatees might have tried to adopt them.
Hons, I've driven on this particular stretch of highway between Miami and Key West and it's flat-out beautiful with crystal blue water, gorgeous mangroves and cloudless skies.
Not once have I been so bored that I decided I'd rather drag a sharp blade over my nether regions just to have something to do. There are so many "You might be a redneck if" elements to the story of Megan Barnes, but my favorite is that, while performing this extremely personal grooming ritual, she asked her EX HUSBAND to steer the car so she could concentrate ("Help me out, Buford, I'm gonna make it look like a LIGHTNING BOLT!")
What a guy! Not only did he hold the steering wheel so she could concentrate on primping for her big date with ANOTHER MAN, but when the cops arrived, he tried to switch places and claim he'd been driving.Trouble was, he had burns on his chest from the airbag that had deployed on THE PASSENGER SIDE ONLY. Oops.

To no one's particular surprise, the Highway Patrol quickly discovered that Ms. Barnes didn't have a valid driver's license. Oh, and, the day before, she'd been convicted of DUI and driving with a suspended license. Oh, and her car had been seized and had no insurance or registration. Oh, and she was on probation. Oh, and SHE'S A FLIPPIN' LUNATIC!
Albeit an impeccably groomed one

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, May 1, 2011

Waliwaza nini kutenda waliyotenda baada ya kutenda waliyowaza?

Photo Credit: Kinesis Marketing
Niliposoma haya matukio nikawaza WALIYOWAZA mpaka KUTENDA haya baada ya kuwa WAMETENDA WALIYOWAZA AWALI.
Hii ni kuhusu "watu" hawa ambao kwa fikra zilizofuata baada ya MATENDO yao wameufanya ulimwengu kuwaza WALIWAZA NINI?Tuanze na "jirani" zangu wa Pennsylvania ambapo watu wawili "walifanikiwa" kuiba toolbox nyumbani mwa mtu na bila kuchelewa wakaamua kwenda kuliuza "fastafasta". Ambalo hawakuwaza ni "wapi pa kuliuza" na matokeo yake ni kuwa wakajikuta wanaenda kazini kwa waliyemuibia na kujaribu kumuuzia. Mwenye mali alipoangalia vema, akafananisha na toolbox yake, lakini akasubiri mpaka alipofika nyumbani ambako aligundua kuwa AMEIBIWA. Polisi waliwakamata Cody Lee Littrell (32), wa Hanover, Rebecca Erinn Dice mwenye miaka 32. Habari kamili waweza kuisoma HAPA.
Leo bado niko na WAHALIFU tuuu. Tumzungumzie huyu mwingine, Christian Longo, ambaye ANATAKA KUREJESHA IMANI YAKE KWA WANAJAMII baada ya kuua mke na watoto wake watatu.
Photo Credits: NY Dailynews.com
Sasa analazimisha serikali kumkubalia kutoa viungo vyake ili vikasaidie kuokoa maisha ya watu wengine baada ya kuuawa kwa sumu. Kwa mujibu wa ukurasa huu wa MSNBC.COM, "Christian Longo, 37, says he wants to do more to take responsibility for killing his family and dumping their bodies in coastal bays nearly a decade ago than simply accepting execution by lethal injection." Yaani anawaza KUOKOA maisha ya mtu mmoja baada ya kuwa ameua wanne. ANAWAZA NINI?
Najua wengine wanaisoma hii kupitia FACEBOOK. Basi kwanza nikukumbushe nilichowahi kuandika kuhusu mitandao hii ya kijamii. Niliandika kuhusu "kisa cha mama mmoja ambaye amepoteza mafao yake baada ya taswira katika ukurasa wake wa facebook kumuonesha mwenye furaha kuliko alivyoandikishwa kazini. Hiki ni kisa cha kweli na mama huyo sasa anajuta kwa kuwa na picha hizo ambazo zimetibua malengo yake a maisha.
Unaweza kufuatilia kisa kamili HAPA . Sasa wiki hii nimesoma kuhusu hawa wengine ambao "walifanikiwa" kuiba dola 62,000 benki, kisha wakaenda kujigamba kwenye Facebook, jambo lililowarahisishia polisi kazi ya kuwanasa. Jamaa hao waliandika kwenye Facebook siku moja kabla ya kwenda kuiba kwamba "U HAVE TO PAST THE LINE SOMETIMES!! TO GET DIS MONEY!!" kisha kesho yake baada ya "mafanikio" ya uporaji huo, mmoja wao akaandika "I'M RICH (expletive)." Haikuchukua muda kwa wao kukamatwa na kukiri kutenda kosa. WALIWAZA NINI? Soma kisa kamili kilichowashangaza hata maafisa wa FBI HAPA .
Na mwisho ni HUYU "mheshimiwa" ambaye alifanya kazi ya ziada juu ya kazi ya ziada kupunguza kazi ya ziada ya kumsaka. Photo Credit: Daily Mail
Ninamzungumzia Anthony Garcia wa California ambaye baada ya mauaji aliyofanya kwenye duka moja la pombe, alienda na kuchora tatoo kifuani mwake inayoonyesha eneo zima la mauaji lilivyotokea mwaka 2004. Sasa Garcia ambaye ni mwanachama wa kundi hilo la Rivera 13, anakabiliwa na kifungo cha miaka 65. Hebu soma kwa undani habari yake HAPA.
Kwa hawa wote...nawaza kuwa WALIWAZA NINI kutenda ama kutaka kutenda haya baada ya kuwa wamewaza waliyotenda awali?
NAWAZA KWA SAUTI TUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Friday, April 29, 2011

Hivi ni KWANINI.....??

Haya sasa. Siku ya siku ilifika. Hatimaye "wapendanao" wakafunga ndoa. Lakini wakati bado watu wanawaza kuhusu HARUSI na mapokopoko mengi sana. Lakini kwangu haikuwa kuhusu HARUSI, bali kuhusu NIA YA KUITAZAMA HARUSI HII. Nakumbusha kuwa NIMESEMA HARUSI NA SIO NDOA.
Sasa ninalowaza ni kuwa KWANINI WATU WENGI WALIFUATILIA HARUSI HII?
Kwa mujibu wa tovuti ya OneIndia.com, mamilioni ya watu walifuatilia harusi hii. Kwa mujibu wa tovuti hiyo, "many television networks are offering commentary and video from London. It is estimated that about 2 billion people will watch the Royal Wedding live on TV and another 400 million people on the internet." Hii idadi si ya masihara. Ni watu wengi sana. Hata tovuti ya Hollywood Reporter imesema hapa, kwamba harusi ya wapendanao hawa IMEVUNJA REKODI ya wafuatiliaji wa mtandaoni.
SASA.........kama
-Ilishajulikana kuwa wataonana.
-Walishajulikana Bwana na Bibi Harusi.
-Hakukuwa na tetesi kuwa kuna uwezekano wa jambo la ajabu kutokea.
-Gharama za harusi hii haziwezi kufikiwa na wengi (kwamba waliangalia kuiga).
-NI KWANINI MAMILIONI YA WATU WALIFUATILIA HARUSI HII?
Ni kufuata MKONDO wa vyombo vya habari vinavyojali idadi ya watazamaji / wasikilizaji / wafuatiliaji?
Kuna ambalo walitaka kujifunza katika ndoa hii?
Kwa kutazama harusi hii (ambayo kuna baadhi ya wafanyakazi waliochukua mapumziko kuifuatilia), kuna ambalo wanandoa ama maharusi watarajiwa wanalotegemea kujifunza?
AMA??
Nawaza kwa Sauti tu!!!

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, April 10, 2011

Tunapowaza kuhusu UKWELI wa UONGO huu....

UKWELI una matatizo makuu matatu. Tuanze na haya mawili (kwa mujibu wangu) kisha la tatu LITAFUNGA bandiko hilo. Tatizo la kwanza ni kuwa unapoamua kuufuata na kuuekeleza, unaweza kuwa miongoni mwa wachache Tatizo la pili ni kuwa, Ukweli ndio chanzo cha uongo. Uongo wote husemwa ili ufanane na kuaminika kama UKWELI. Na kabla uongo huo haujagundulika, huaminika na pengine kutekelezwa kama UKWELI. Waongo huamini katika UKWELI wa uongo wao na kwa bahati mbaya, hata WAKWELI huamini UONGO huo mpaka pale watakapokuja kujua ukweli kuwa ule ulikuwa uongo. Lakini sasa tuangalie kauli hizi mbili ambazo si ngeni, lakini UKWELI WA UONGO WAKE haufikiriwi vema. Na sasa tujaribu kuangalia.
1: MIMI NI MSIRI SANA. NIAMINI KWA KUWA SITOI SIRI. Unachotakiwa kuwaza hapa ni kuwa, u-SIRI ni nini na upi? Na je, kwa mtu kuwa msiri si lazima aendeleze kuwa na siri ya siri zake? Na Je!! Kwa kusema kuwa yeye ni m-siri na ana siri nyingine, hudhani kuwa ukimwambia SIRI yako itaongezeka katika orodha ya wale watakaotumika kupata kesi nyingine? Labda mtu aliye m-SIRI hatambuliki kwa kuwa haonekani, labda asemwe na asemwaye kuwa ni m-siri ni yule ambaye alieleza kuwa ana siri na hakuna kuaminika juu ya siri mpaka uiseme na mtu ajue ambacho hakujua, na kama atajua, haitakuwa siri tena na hivyo hatakuwa msiri. Ninalowaza ni kuwa NI KWANINI, ILI UDHIHIRISHE KUWA NI M-SIRI UNASTAHILI KUVUNJA MWIKO WA MTU M-SIRI? Na je, kuna mtu aliye msiri? Asemaye kuhusu hili, huonekana kuwa mkweli ama muongo? Na unaposikia kauli hii, unaamini kuwa ni ya UKWELI ama UONGO? Kwani sasa unawaza nini? Sikia kauli nyingine hii..........
2: MIMI HUDANGANYA MARA ZOTE. Ukiangalia sentensi hii, UNAWAZA NINI? Ninalowaza ni kuwa SENTENSI HII HAITAKUWA KWELI hata iweje. Suala hapa ni kuwa ....KAMA NI KWELI kuwa mtu huyu huwa anadanganya, basi sentensi hii ni ya kweli na hivyo mtu huyu hajadanganya sasa hivi. Kwa hiyo hadanganyi "mara zote" kwa kuwa safari hii kasema ukweli. Lakini KAMA SI KWELI kwamba mtu huyu hudanganya mara zote, basi sasa hivi amedanganya hivyo sentensi hii si ya kweli. Yote juu ya yote, mtu anayedanganya mara zote hatajulikana anadanganya bila kuwepo UKWELI wa UONGO katika UONGO wake. Lakiniiii...binafsi UNAWAZA NINI unapofikiria kauli kama hii? PENGINE nirejee kwenye ahadi yangu hapo juu, kwamba nitakueleza tatizo la tatu la ukweli. Nalo ni kwamba laweza kukufanya uuone kama uongo iwapo unaloamini ama kutaka kuamini ni tofauti na kile kinachoelezwa kama ukweli. Yawezekana KUWAZA nisemayo kwa namna niwazavyo kutakufanya uamini kuwa naeleza UKWELI WA UONGO, lakini kwa KUWAZA tofauti nami, kutakufanya uniwaze kama MUONGO JUU YA UKWELI WA UONGO niuandikao hapa.
Kwani wewe UNAWAZA NINI?


***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Sunday, April 3, 2011

Baada ya HAPA, ungewaza nini?

Juma hili nimeona TUSHIRIKIANE kwenye KUWAZA ni nini ambayo wenzetu waliwaza baada ya KUNUSURIKA kwenye hali ama ajali kama hizi? Wengine walifanya UJINGA kwa "kujiegesha" na wengine "yaliwakuta" wakiwa kwenye habari nyingine. Tazama kisha WAZA kuwa baada ya hapa WALIWAZA NINI? Hasa huyo wa dk ya 2:21? Ama kweli KILA ROHO ITATOKA WAKATI WAKE UKIFIKA
Kisha tumuwaze "mtemi" huyu ambaye aliamini kuwa ni M'BABE kwa mwenzake. Lakini baada ya kupewa muda wa kuacha uovu aliokuwa akiufanya na kushindwa kufanya hivyo, akapewa FUNDISHO LA VITENDO
***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya. Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki BOFYA HAPA"***

Sunday, February 27, 2011

Kuwezesha chanzo cha tatizo ili kupata suluhisho?..Kwanini????

DAWA YA MOTO NI MOTO.... PHOTO CREDITS: CNN.com
Si ndio WAHENGA (wanaopingwa na Kaka Kamala) walivyosema? Basi kuna ambao wako tofauti kidoogo na Kakangu Luta Kamala ambao wanaamini kuwa unaweza kuzuia vurugu kwa kuwekeza katika chanzo cha vurugu. Mmmmhhhhh!!!!!!!!!!!
Yeah... Majimbo mawili hapa nchini Marekani yako kwenye mjadala mnono wa kuwawezesha wanafunzi na waalimu wa vyuo vikuu KUJILINDA KWA KUINGIA MADARASANI WAKIWA NA BASTOLA.
MJADALA HUU WA TEXAS na HUU WA ARIZONA yaonekana kuzidi kuchukua taswira mpya kila uchao kutokana na BIASHARA ya silaha kuwa kubwa hapa nchini, suala zima la HAKI YA MSINGI YA RAIA KUJILINDA na pia kutokana na matukio kadhaa ambayo yamekuwa yakijitokeza kwenye shule na vyuo kadhaa hapa nchini.
Lakini nawaza kuwa hawa wanaoamini kuwa kila mwanafunzi na mwalimu akiwa na silaha ndio kutakuwa na usalama WANAWAZA NINI?
Nawaza kama watu wenye matatizo ya kushindwa kuzuia hasira zao watakuwa ni sehemu ya usalama ama hatari vyuoni?
Vipi wale wanaochukia watu na kufanya maamuzi ya papo kwa hapo?
Na ile sheria ya "kuua kwa kutokusudia" kwa kuwa umeua ndani ya muda mfupi wa kukerwa itakuwaje hapa?
Maana ukimuudhi mtu hahitaji kwenda mbali kutafuta silaha (ambapo mwendo huo waweza kumfanya awaze mara kadhaa juu ya kile anachotaka kufanya), bali ni kuingiza mkono mfukoni na kufyatua.
Mmmmmmmhhhh!!!
Vipi kuhusu suala zima la shabaha? Vyuo vina maelfu ya wanachuo, na kama kila mmoja atajaribu kumlenga mmoja anayetaka kuua watu, na shabaha isiwe sawia, nahisi "waokozi watauana na kuua watu wengi kuliko ambavyo mmoja anayezuiwa angeua"
WALIOFIKIRIA HILI KUWA SULUHISHO WALIWAZA NINI?
Achana na hao....
Jana nilitumiwa ujumbe huu wa barua pepe na rafiki yangu aliyeweka maswali kadhaa ya KWANINI?
Na alinifanya NIWAZE ZAIDI YA KUCHEKA na kuwaza ALIYEANDIKA HAYA ALIFIKIRIA NINI?
Labda kuna ukweli (yawezekana usiuone kulingana na mazingira) lakini FIKIRIA FIKRA ZA MWANDISHI....ALIWAZA / WALIWAZA NINI?
PHOTO CREDITS: Kinesis Marketing UK
.Why do supermarkets make the sick walk all the way to the back of the store to get their prescriptions while healthy people can buy cigarettes at the front?
.Why do people order double cheeseburgers, large fries, and a diet coke.
.Why do banks leave vault doors open and then chain the pens to the counters.
.Why do we leave cars worth thousands of dollars in our driveways and put our useless junk in the garage.
EVER WONDER ...
.Why the sun lightens our hair, but darkens our skin?
.Why can't women put on mascara with their mouth closed?
.Why don't you ever see the headline 'Psychic Wins Lottery'?
.Why is 'abbreviated' such a long word?
.Why is it that doctors call what they do 'practice'?
.Why is lemon juice made with artificial flavoring, and dish washing liquid made with real lemons?
.Why is the man who invests all your money called a broker?
.Why is the time of day with the slowest traffic called rush hour?
.Why isn't there mouse-flavored cat food?
.Why didn't Noah swat those two mosquitoes?
.Why do they sterilize the needle for lethal injections?
.You know that indestructible black box that is used on airplanes? Why don't they make the whole plane out of that stuff?!
.Why don't sheep shrink when it rains?
.Why are they called apartments when they are all stuck together?
.If flying is so safe, why do they call the airport the terminal?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Saturday, January 22, 2011

Uswahili, Mswahili na Kiswahili...Ni nini nani na kipi?

Tunatambulishana na kutambulisha vitu kwa namna ama mitindo mbalimbali (japo si lazima utambulishanaji huo uwe sahihi ama makini)
Mfano: Kuna mchekeshaji mmoja mwenye asili ya Amerika ya Kusini, aliwahi kusema kuwa si lazima uwe umezaliwa kwenye ukanda atokao yeye ili utambulike kuwa ni m-Latino, bali ukishafanya / kupata huduma za ki-benki (kama ku-cash check nk) kwenye liquor store, basi wewe ni m-Latino.
Nilifurahia tu sentensi yake kwa kuwa najua kinachowafanya ndiugu zetu hao wafanye hivyo, lakini jana nilipokuwa nasikiliza nyimbo kwenye mp3 yangu, nikakumbuka nilivyokuwa naitwa MSWAHILI.
Basi kama wako sahihi, hapa chini paonesha maisha na harakazi za kwetu

Na siwezi kupinga kilichonifanya kuitwa hivyo kwa kuwa nilijua fikra za walioniita MSWAHILI. Kwao waliamini kuwa kuongea kwa namna fulani ama hata kusikiliza miziki yenye mafumbo ama lugha fulani ni uswahili. Na mimi nilikuwa natimia kwenye tafsiri yao. Nilipenda na bado napenda maongezi yenye kueleza kitu kwa namna ya kibunifu. Nilipenda na bado napenda maongezi ambayo yana mifano na kuchangamsha akili. Nilipenda na bado napenda maongezi ambayo yana TUNGO TATA.
Yaani kwangu ningependa kusema "chupi ya maziwa" badala ya sidiria. Chumba cha bwenini ungesikia mtu akiulizwa kama fulani ni "bubu wa masikio" badala ya kiziwi kwa kuwa tu hakusikia ulichomueleza. Ni misemo miingi sana ya kueleza kitu kwa namna yake. "Mtoto' ingekuwa na maana nyingi kulingana na sentensi na sasa ukiongezea "mtoto si riz'ki" nayo ingemaanisha vingine. Ilikuwa raha.
Lakini pia nilipenda kusikiliza nyimbo zilizokuwa na MAFUMBO na hata TUNGO TATA. Sasa nikaambiwa hiz ni nyimbo za kiSwahili kwa kuwa zilikuwa zikisema vibaya na wengine kusema ati zilikuwa zikitusi. Lakini nililogundua ni kuwa nyimbo hasa MDUARA ni nyimbo za kufikirisha na pengine badala ya kuziita za kiSwahili, tujifunze kuuliza kisemwacho na kama kina utata basi tusiwe wepesi kuamua alichowaza muimbaji bali tuwaulize waimbaji.
Leo nimekumbuka haya baada ya kusikiliza albamu yangu yenye mkusanyiko wa nyimbo za mduara na nimeona nishirikiane nanyi mawazo haya. Nikisikiliza nyimbo SHANUO na SITISHIKI zao Chuchu Sound nafurahishwa na upangiliaji wa vina na matumizi ya kiswahili fasaha. Mfano wanaposema "maisha si mashindano japo kipato kikubwa unacho wewe". Lakini pia kuna tungo chache Tata ambazo waweza zisikiliza hapa

Pia maumbo yaoneshayo uhalisia wa maisha kama "ni rahisi kuteka maji kwa pakacha kuliko yeye kuniacha" ambalo ni funzo kuwa kuna sehemu nyingine si za kujisumbua "kuharibu"
Lakini kuna mengi ya kujifunza katika "kauli" zao mwishoni. Labda tusikilize ili kujua tujifunzalo na pengine uwaze NINA WAZA NINI nisikilizapo hizi na pia waweza KUWAZA kama wawazao akili zangu kuwa za "kiswahili" wako sahihi

Na sasa tuhamie kwenye SWEET BABY ya TOT-Plus. Kuna kauli ambazo zilikuza mashaka lakini moja ya ambayo nilibahatika kuwa na mdahalo ni ile ya "Anti" ambayo wamezungumzia ku"gonga hodi mara 2 mbele, kama kimya gonga kimya mara 3. Kama kimya mwaga mzigo wako hapohapo nje. Ataupata". Tofauti pekee niionayo kati ya kilichoimbwa hapa na kwetu uHayani ni kuwa sisi kama umegonga mbele na nyuma hujamuona mtu, waacha ka-jani ka mgomba ili wakirejea wajue kuwa kuna aliyekuja akawakosa. Hatumwagi mzigo wao (labda kama umeambiwa ama kukubaliana hivyo). Sikiliza mwenyewe na uwaze.

Katika nyimbo hizi, kuna misemo miiingi sana ambayo inaweza kwenda na maana halisi lakini ikanyambulishwa visivyo. Kama nilivyosema HAPA kwa Binti Mkundi, "Mfano wimbo wa Aungurumapo Simba RMX ambayo Banza aliweka uhalisia wa maisha yetu japo wapo waliotafsiri kama matusi. Alisema "RAHA YA CHUNGWA, UMENYEWE, KISHA UKATIWE". Mimi ni kati ya walaji wazuri wa chungwa, lakini kila ninapofikiria kulimenya na kubaki na harifu ya maganda baada ya kula najiuliza mara mbili kama "kweli nahitaji kula chngwa wakati huo ama la?'" Na nikimpata wa kulimenya na kukata, NAWEZA KULILA WAKATI WOWOTE. Katika wimbo huo huo, Banza akasema "RAHA YA DAFU, UKISHAKUNYWA YALE MAJI, SHARTI DAU LICHOKOLEWE". Sijui atakayepinga kuwa hu ni ULAJI wa asili wa dafu ni nani? Kama huna kichokoleo kizuri basi ndio ungehitaji "njia m'badala" kama kulivunja kisha ukatumia kichokoleo chako hafifu kulila. Na sehemu nyingine akasema "RAHA YA NANGA BAHARINI, MTONI ITASHIKWA NA TOPE." Kwa sisi tuliokulia kwenye misafara ya majini wajua nanga. Na kwa wavuvi wanajua karaha ya nanga yenye matope. Haimaanishi kuwahuwezi kushusha nanga mtoni (maana waliozoea kuvua mtoni wanafanya hivyo) ila SI KWA RAHA KAMA BAHARINI. Na huo ni ukweli ulio wazi. Sasa kutafsiri vingine na wanavyouliza watu nadhani si tatizo la muulizaji, bali la mtafsiri.
UKWELI NI KUWA NAWAZA SIJUI NINAWAZA NINI?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Sunday, December 19, 2010

Ni kweli twakusanya vya kale...Ila $90K kwa jeneza lililotumika??? Mmmmhhhhh!!!

Photo Credit: World News Insight
Dunia ina mambo yake. Na kuyashangaa, kuyapenda, kuyachukia ama kuyaona mazuri ama mabaya itategemea na upande uyaangaliayo.
Yaani yategemea uko wapi, waangalia mambo kwa jicho gani na hili laweza kukufanya ukaona mtu katenda jambo la maana ama la.
Duniani kuna watu ambao wanafanya kazi ya kukusanya vitu hasa vya zamani, maarufu na ambavyo ni "adimu".
Si mlisikia mnada wa glovu ya Michael Jackson? Na wengine (kama mfanyakazi mwenzangu) hukusanya pesa za mataifa mbalimbali, mwingine anakusanya vikombe vidogo vya "shot" vyenye nembo ama majina ya nchi mbalimbali
Wiki hii kuna "mkusanyaji" mmoja ambaye hakupenda kujulikana amenunua lililokuwa jeneza la mtuhumiwa wa mauaji ya Rais Kennedy wa Marekani kwa zaidi ya dola 90,000.
Jeneza hilo la "kawaida" ambalo lilikuwa na mwili wa Lee Harvey Osward kwa miaka 20 kabla ya "kuzikuliwa" kwa uchunguzi na kuzikwa upya kwenye jeneza jipya, limeharibiwa kutokana na unyevu na maji kwa miaka ambayo lilikaa na mwili kaburini, liliingizwa mnadani wiki mbili zilizopita.
Kuna mitumba ya kununua, lakini mtumba wa jeneza???
Angalia mwenyewe video hii inayoeleza kwa zaidi.

Ninalowaza hapa ni kuwa aliyenunua "jeneza la mtumba" ALIWAZA NINI?

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Friday, December 10, 2010

Ama kweli......NAMNA UONAVYO TATIZO NDIO TATIZO....Wanawaza nini?

Photo Credits: Huffington Post
Mwanzoni mwa wiki hii, mke wa John Edwards, mgombea urais kwa chama cha Democrat Mama Elizabeth Edwards, alifariki dunia kutokana na maradhi ya saratani. Kifo hicho kilikuja muda mfupi baada ya yeye mwenyewe kueleza nia ya kukatisha matibabu hasa baada ya watabibu kueleza kuwa kulikuwa na nafasi ndogo ya matibabu hayo kuleta uponyaji.
Sasa kanisa moja dogo (ambalo lina ndugu zaidi ya waumini) limerejea tena kwenye ulingo wa habari kwa kutangaza kuwa WATAANDAMANA wakati wa maziko ya Mama Edwards kwa kuwa AMEJIUA KWA KUGOMA KUPATA MATIBABU.
Hili kanisa lijulikanalo kama Westboro Baptist Church ambalo moja ya anwani zake za tovuti (utaona nyingine kwenye press release yao) ni http://www.godhatesfags.com/, lilishafanya maandamano katika mazishi ya Marine Lance Corporal Matthew A. Snyder ambapo kesi ya tukio hilo imefika Mahaka Kuu hapa Marekani.
Ninalowaza ni kuwa WANAWAZA NINI KUFANYA HAYA? WANAITANGAZA VIPI IMANI YAO? WANAHISI AMA KUAMINI VIPI JUU YA UHALALI WA WAFANYAYO???

Hii hapa ni taarifa ya kanisa hilo iliyotolewa kuhusu apingano hayo
Dini hiziiiii. Madhehebu hayaaaaaa.....Kaka KAMALA UPOOOOOO???? ? HEAVEN HELP US ALL!!!!!!!

***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***

Sunday, October 10, 2010

Waliwaza, wamewaza, wanawaza na watamuwaza vipi MUNGU?

Kama nilivyoandika katika "toleo" la jana, yapo matukio ambayo kupona kwake kwategemea MUNGU pekee. Matukio ambayo mwanadamu hana "nguvu" wala msaada wowote zaidi ya kusubiri MABAKI ya kile kinachotendeka. Lakini nguvu za MUNGU zafanya yote.
Binafsi nimeshuhudia baadhi ya mambo ambayo wakati mwingine yakufanya uwaze kama kuna ustahili wa kuwa ulivyo ama kwa mwingine kuendelea kuwa alivyo. Nimesoma na kuona watoto waliookoka katika ajali mbaya tena bila michubuko, na mengine mengi. Yote haya (pamoja na yangu binafsi) hunifanya nirejee kwenye swali hilo hapo juu. Sasa kwa leo, tuwaangalie hawa ambao walichukua / wanaendelea kuchukua taswira ya vyombo vya habari kuhusu kupona kwao

Mtazame mwanajeshi huyu ambaye akiwa katika hatua za mwisho za kuhakikisha ndege ya kivita iko katika hali nzuri kuondoka, "alinyonywa" ndani ya injini na kutokea upande wa pili akiwa mzima. Zana za kujikinga zote ziliharibika na hata shati kuchanika lakini hakumung'unyuliwa. Huu ni zaidi ya muujiza kwani kwa sisi na wale wanaoshughulika na masuala ya anga wanatambua namna ambavyo majaribio ya injini hizi hutumia ndege kama bata mzinga ambao wanapopita mbele na kutokea nyuma huwa ni kama nyama iliyosagwa. Huyu kaka alikuwa na umbo kuubwa kulinganisha na ndege hao lakini akatoka mzima.
Unadhani alimuwa, amemuwaza, anamuwaza, na atamuza vipi MUNGU maishani mwake? Mtazame hapa chini...

Na pia tuyarejee maisha ya ndugu zetu wa Chile ambao kwa muda wote walionekana kuwa na matumaini makubwa. Kwa hakika ni kwa kuwa hawakuwa na namna nyingine ya kufanya zaidi ya KUKUBALI HALI.
Tazama maisha yao huko machimboni. Na ni kwa kukaa muda wote huo, kuvunja rekodi ya kukwama machimboni kwa muda mrefu na sasa tumaini la kuvunja rekodi ya uokozi ulio mgumu zaidi kufanyika machimboni, ninawaza hawa ndugu zangu waliwaza, wamewaza, wanawaza na watamuwaza vipi MUNGU aliyewatunza na kuwaokoa katika hili?
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA WAKATI WALIPOFIKIWA.

Na kazi mpya ya kuwatoa ndio inaanza kama waelezavyo Karl Penhaul na Chad Myers wa CNN


***"Waliwaza nini ni kipengele cha kuelimishana tukifurahia. Hiki kitakuwa kikikuletea habari za kweli na kushangaza kuhusu watu ambao wamefanya yale ambayo unaweza kujiuliza kuwa WALIWAZA NINI? wakati wanatenda haya.
Kitakuwa na habari fupifupi kutoka ulimwenguni kote. Kwa habari zaidi kuhusu kipengele hiki
BOFYA HAPA"***