Thursday, March 26, 2009

Mkaribishe Dada Digna Abraham na BEHAVE FREE


Kama kawaida nashukuru kuwa watu wanavyozidi kusoma majamvi ndivyo wanavyotambua kile na pale wanapoweza kuchangia.
Namleta kwenu Dada DIGNA ABRAHAM ambaye amefungua blog yake kuhusu vijana. Waweza kumtembelea kwa ku-bofya hapa .
Karibu sana D

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Yah! karibu sana Digna Tupo pamoja.