"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self."
Cyril Connolly (1903 - 1974)
Monday, June 22, 2009
Za Kale vs Maisha ya sasa.....PENZI HALIGAWANYIKI
Mambo mengi yanabadilika kulingana na mazingira, teknolojia, na nyakati lakini moja kati ya yaliyogoma kubadilika ni uwezo wa kugawanya penzi. Hili lilitokea tangu miaka mingi iliyopita na mpaka sasa hakuna ambaye ameweza kuligawa kwa watu wawili na kuwa na uwezo wa kusema ana hisia na matunzo yaliyo sawa kwa kila ampendaye. Ndio maana hakuna ubishi kuwa namna pekee ya kuepusha mkanganyiko wa mgawanyo wa penzi ni kutojihusisha na harakati za kuligawa. Hii ilikuwepo tangu enzi za kale mpaka maisha ya sasa. Tuwasikilize Vijana Jazz Band wakija na sehemu mbili za wimbo waliouita Penzi Haligawanyiki
Na sehemu ya pili hii hapa chini
** Zilipendwa ni kipengele kinachokujia kila Jumatatu kukuletea muziki wa kale kuhusisha na maisha, muziki ama sanaa ya sasa katika nyanja mbalimbali. Unaweza kusikiliza nyimbo nyingine ndani ya kipengele hiki kwa kubofya hapa, ama mtandao shirika hapa** JUMATATU NJEMA
.Today we have bigger houses and smaller families; more convenience but less time. .We have more Degrees but less common sense; more knowledge but less judgment. .We have more experts but more problems; more medicine but less wellness. .We spend too recklessly, laugh too little, drive too fast, get too angry too quickly, stay up too late, read too little, watch Tv too much and Pray too seldom. .We multiply our Possessions but reduce our values; we talk too much, love too little and lie too often. .We’ve learned how to make living, but not a life; we’ve added years to life not life to years. .We have taller buildings, but shorter tempers; wider freeways but narrower viewpoint. .We spend more, but have less; we buy more, enjoy less. .We’ve been all the way to the moon and back, but have trouble crossing the street to meet our neighbor. .We’ve conquer outer space, but not inner space. .We split the atoms, but not our prejudice .We write more, learn less; plan more but accomplish less; we’ve learned to rush but not to wait; we have higher income but lower morals. .We build more computers to hold more info, to produce more copies but have less communications. .We’re long on quantity but short on Quality. .These are the time for Fast food and slow digestion; tall men and short characters. .More leisure but less fun; more kinds of food but less nutrition; two income but many divorces, fancier houses but broken homes.
1 comment:
Asante sana Jumatatu njema nawe pia Mubelwa!
Post a Comment