Wednesday, November 23, 2011

Burudani toka Afrika Mashariki

Kama inavyoonyesha hapa chini, ni usiku wa burudani ya kiAfrika Mashariki katika ukumbi wa RANDEZVOUS, uliopo
11910 PARKLAWN DR,
ROCKVILLE,MARYLAND 20852

Wasanii Chameleon wa Uganda, AJ Ubao wa Tanzania na Kanja toka Kenya wanatarajiwa kuburudisha.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na DMK GLOBAL kupitia 301-661-6207

No comments: