Sunday, December 11, 2011

Elimu ya Uhuru, uhuru wa elimu na elimu huru

SIKUISAHAU "SIKU KUU" HIINilikuwa nasubiri wamalize hii HANGOVER ya "mapato na matumizi" ya SHEREHE HIZI kisha wakishakuwa "sober" tuje kujadili namna ambavyo tutaoanisha ELIMU na UHURU.
Kama nilivyosema katika status yangu hukooo "usokitabu" na nairejea hapa chini.....
MIAKA 50 YA UHURU..........
Tunalohitaji ni MWALIMU wa kuwafuata wale waliopanga haya mashamsham ya uhuru kuhusu MIAKA 50 YA ELIMU YA UHURU ili waujue UHURU WA ELIMU na baada ya hapo wapewe ELIMU HURU ya kuwa HURU KIELIMU kuweza kuleta maendeleo nchini.
NAWAZA KWA SAUTI TUUUU!!!!!!

TUKUTANE "NEXT IJAYO" TUTAKAPOJADILI HILI.

No comments: