Tuesday, August 27, 2013

"Teaser" ya SWEET PETER JEETER THE LOVE DOKTA toka Swahili Radio

SWAHILI RADIO ni kituo cha mtandaoni kilichoanzishwa Jijini Washington DC USA na Kampuni ya "MMK MEDIA GROUP" ambao wanamiliki Swahili Radio Online, Swahili TV Online, SwahiliTV Blog, Swahili Magazine USA-AFRICA, na The Bridge Show inayoonyeshwa kwenye channel za DCTV.
Sasa wapo kwenye matangazo ya majaribio ambapo wameanza kukuletea vipindi kama vya "kutoka magazetini" na "Habari za Afrika"
Sasa wanaongeza kipindi kingine cha MAHUSIANO kitakachokuwa kikitangazwa na AJ UBAO a.k.a Sweet Peter Jeeter the Love Dokta.
AJ UBAO ama Sweet Peter Jeeter The Love Dokta
Hii ni "onjesho" la Dokta mwenyewe akikualika katika kipindi chake kitakachoanza kusikika hivi karibuni
USIKOSE KUUNGANA NAO KAMA WALIVYOELEZA HAPA CHINI


MAELEZO JINSI YA KUTUPATA KWENYE SIMU ZA MIKONONI

1. Download Tunein (Tunein ni neno moja usiache nafasi) Tunein Radio app kwa simu yako mfano; iphone, ipad,ipod,android au Blackberry

2. Baada ya ku-download , open app na nenda kwenye browser  na andika neno swahili radio kisha search.

3. Ukiona logo yao ya swahili radio bofya na sikiliza.

No comments: