Sunday, May 18, 2014

Mahojiano ya Maggid Mjengwa na Kwanza Production

Maggid Mjengwa

Karibu katika mazungumzo na mwanahabari makini na wa muda mrefu ambaye pia ni mmiliki wa Kwanza Jamii, Maggid Mjengwa kuhusu masuala mbalimbali ya uandishi, siasa, kama mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba na mwenendo mzima wa nchi ya Tanzania.
Huu ni mfululizo wa mazungumzo na watu mbalimbali kuhusu masuala mbalimbali muhimu kwa mustakabali wa nchi za Afrika Mashariki
Karibu
Kwa maoni, tafadhali wasiliana nasi kwa barua pepe kwanzaproduction at gmail dot com

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

kazi nzuri sana..nitakufuta kwa mail...