Tuesday, August 5, 2014

Kipindi cha Maswali na Majibu kati ya Rais Kikwete na waTanzania, Washington DC

Mhe. Rais Dk Jakaya Kikwete akijibu maswali ya waTanzania
Usiku wa Agosti 2, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Jakaya Mrisho Kikwete alikutana na waTanzania katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Baada ya hotuba yake, Mhe. Rais aliruhusu maswali kutoka kwa waTanzania hao
Na haya, ndiyo yaliyoulizwa kwake.
Karibu

No comments: