Thursday, January 1, 2015

Maelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji Marekani

Photo Credits: Vijimambo Blog
Katika mkesha wa mwaka mpya (2014-2015), Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia , kulikuwa na matukio mbalimbali. Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji. Karibu umsikilize

No comments: