Wednesday, February 4, 2015

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi (Pt 1)

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hili cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi ambaye ametueleza mengi juu ya safari yake kimaisha
Katika sehemu hii ya kwanza, Mhe. Balozi Nyang'anyi anaelezea
1: Historia yake.
 2: Aliposoma na alivyosoma.
 3: Namna alivyofika / kupata kazi Shirika la Utangazaji Tanganyika (TBC)
 4: Alivyoingia kwenye masuala ya diplomasia na kisha.....alivyoiona nafasi ya ubunge kwa mara ya kwanza 1970. Hii ni safari ndeefu ambayo kwa hakika utapenda kuisikia.
 KARIBU

No comments: