Sunday, February 22, 2015

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi....Sehemu ya mwisho

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE
Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi
Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha
Na katika sehemu hii ya nne na ya mwisho ya mazungumzo yetu, Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea
1:Tukio la ugaidi la Septemba 11, 2001  - walivyopata taarifa (kama wanadiplomasia), na kilichofuata
2: Jukumu la kukuza mwanya wa biashara kati ya Marekani na Afrika, ambalo lilisababisha kupitishwa kwa muswada wa sheria wa AGOA
3: Siku yake ya kawaida kama Balozi inavyokuwa na alizimudu vipi?
4: Kituo chake kipya cha kazi huko Abu Dhabi Julai 2002
5: Utata juu ya wajibu wa ofisi za ubalozi kwa wananchi wake
6: Maisha baada ya kustaafu
7: Kazi yake kama Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATC)
8: Nani alioshirikiana  na kuhusiana nao kwa urahisi zaidi
9: Maisha yake ya kisiasa na BUSARA ZAKE
KARIBU
Kama ulikosa sehemu za awali, unaweza kuangalia Sehemu ya kwanza hapa, sehemu ya pili hapa na sehemu ya tatu hapa

No comments: