Saturday, June 13, 2015

Reggae Time ya Pride FM....Jumamosi June 13, 2015

Mubelwa Bandio na Babu Sikare
Leo ni International Albinism Awareness Day.
Na inaadhimishwa kwa mara ya kwanza tangu UN iitangaze (Nov 18 2014)
Katika sehemu ya kwanza ya kipindi, nimezungumza na Babu Sikare, mwanaharakati mTanzania aishiye hapa USA aliyeshiriki mchakato wa miaka kadhaa kupigania siku hii.


Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
Kama una TuneIn app tafuta Pride Fm ama http://tun.in/seTTx

No comments: