Monday, August 31, 2015

Waumini wakatoliki wa DMV waadhimisha ibada ya misa ya Kiswahili Baltimore Md.

IMG_9991
Padre Honest Munishi akiongoza ibada takatifu ya misa ya Kiswahili ambayo hufanyika mara moja kwa mwezi katika kanisa katoliki la St.Edwards huko Baltimore Md Jumapili Agosti 30,2015.
IMG_9954
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wakatoliki DMV Bw.Pius Mutalemwa na mama Mutalemwa wakifuatilia ibada hiyo.

 IMG_9952
Mrs.Kessi na mwanae wakifuatilia ibada. IMG_9956
Bernadeta Kaiza akiongoza kwaya kwaya ya watoto. IMG_9975
Bw.Stanley akifuatilia ibada hiyo.
IMG_9977
Bi.Aireen na wanawe katika ibada.
 IMG_9988
Katibu Dan Stephen akitoa matangazo. IMG_9998
Bw.Patrick Kajale akitoa mwaliko wa Tamasha la Kiswahili "Swahili Fest". IMG_9995
Empress Elinita Mhando na mwanae Ernest Simba Shomari wakiwa kwenye ibada.
 IMG_0015
Bw. na Bi. Shomari wakiwakilisha.
 IMG_9986
Brian akitwanga kinanda.
 IMG_9981
Mdogo wa Brian akiwa kwenye ngoma.Kwa picha zaidi ungana na Sundayshomari.com

No comments: