Saturday, December 12, 2015

Reggae Time ya PRIDE FM Dec 12 2015.......Uhuru Afrika

Desemba 9, ilikuwa ni siku ya uhuru wa Tanganyika.
Desemba 12, ni uhuru wa Kenya
Katika kipindi hiki, tumeangaza machache juu ya UHURU wa nchi za Afrika na UHURU WA AFRIKA kwa ujumla.
Je! Tuko huru? Tunauenzi uhuru wetu? Na pengine nini kifuate baada ya kutoka kwa wakoloni?
KARIBU tujadili haya kupitia muziki wa Reggae.
Kipindi cha REGGAE TIME kutoka Pride Fm Mtwara Tanzania hutayarishwa na kutangazwa na Mubelwa Bandio.
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki
Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658

No comments: