Leo ni siku muhimu saana familiani mwetu kwani NGUZO MUHIMU katika familia inazidi kuimarika. Ni siku ya kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Baba yetu mpendwa. Naamini nilishaeleza namna ambavyo Babangu amekuwa amekuwa na VYEO zaidi ya UZAZI kwangu.
![]() |
Alianza yeye kunishika hospitali |
Nami nikamshika Paulina miongo kadhaa mbele |
Kisha nikabarikiwa "kumkamata" Annalisa |
Baba, wakati unasherehekea siku yako ya kuzaliwa, napenda utambue kuwa ULIWEKEZA MEEENGI MEMA KWETU na sasa tunaendelea kuvuna.
Tunajifunza kutokana na maisha uliyotufunza na tunaendelea kuwafunza wengine. Kuwa na Baba kama wewe ni faraja na hakuna siku nitawaza kuwa na baba tofauti nawe.
TWAKUPENDA na TWAKUOMBEA
Happy Birthdate Dad

Happy Birthadate Da Yasinta

Happy Birthday Kaka Haki
HAPPY BIRTHDATE TO YOU ALL
1 comment:
Ni HESHIMA KUBWA SANA KUWEKWA HAPA KATIKA HII BLOG YA CHANGAMOTO NA KUTAKIWA KILA LA KHERI KWA SIKU YA KUZALIWA..Nami napenda kuseam hongera sana kwa wenzangu kama baba hapo juu na kaka Ngowi kwa siku yetu.
Post a Comment