Wednesday, October 29, 2008

"You looking good from afar, but you're far from looking good"

Rais Joseph Kabila
Gen Laurent Nkunda
Mi sijui kiapo chao kikoje ama kimeandikwaje, lakini najua asilimia kubwa (na nahisi na kiapo chao pia) kimesema juu ya kuwatetea na kuwalinda wananchi na mali ya nchi kwa manufaa ya wananchi. Leo hii wananchi ndio wanaokimbia makazi yao, wanakimbia kazi na maisha yao, wanaachana na familia na ama ndugu zao kwa kuwa tu kati ya wawili hawa hakuna atimizaye wajibu wake.
Nasio (ambaye ndiye mwenye sentensi hiyo hapo juu) alisema "war is not a solution, never was and never will it be so" na Luciano akaimba "they kill the wicked and still more rises, without proper justices we can't be suprised".
Kwa hiyo kumbe dawa si kuwaua waitwao waasi kama haki na usawa havitendeki nchini Congo na kwingine ulimwenguni maana "wengine wataanzisha vita".
Mmhhhhh!!!!!

No comments: