"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self."
Cyril Connolly (1903 - 1974)
Friday, September 3, 2010
Them, I and Them......JERUSALEM, SOLDIER
Ni mwisho wa wiki ya mwanzo wa mwezi. Na kama ilivyo ada kwa kila Ijumaa, twajiunga kusikiliza, kutafakari na kisha kuhusisha ujumbe katika muziki wa Reggae na habari zitokeazo katika wiki husika. Na leo si tofauti. Moja kati ya hatua ambazo serikali ya Marekani imeweza kufanya kwa wiki hii ni kuanzisha kile ambacho (iwapo kitafanikiwa) kitaweka msingi imara wa amani katika nchi za mashariki ya kati. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Natanyahu na Rais wa Palestina Mahmoud Abass wakiwa na Rais Barack Obama wa Marekani kuelekea mazungumzoni. Photo Credit: REUTERS Wiki hii Rais Barack Obama wa Marekani anafanya mazungumzo yatakayowakutanisha ana kwa ana viongozi wa mataifa ya Palestina na Israeli. Mazungumzo haya yana tumaini la kufanikisha kufikia makubaliano ya kuleta amani ya ukanda wa Mashariki ya kai ndani ya kipindi cha mwaka mmoja. NI HATUA KUBWA na kama itafikiwa ukingoni na kufanikiwa, itaanzisha UKURASA MPYA WA AMANI baina ya mataifa haya ambayo kwa miaka nenda rudi yamekuwa yakipigana na kusababisha vifo vya maelfu ya watu wasio na hatia. Itakuwa taswira njeema sana kuona ndugu wa mataifa na dini mbalimbali wakiishi pamoja na kuabudu kwa uhuru, kama alivyoimba Alpha Blondy katika wimbo wake JERUSALEM akiona mustakabali utakavyokuwa akisema "You can see Christians, Jews, and Muslims living together and praying AMEN. Let's gives thanks and praises" Sikiliza kibao hiki hapa chini
.Today we have bigger houses and smaller families; more convenience but less time. .We have more Degrees but less common sense; more knowledge but less judgment. .We have more experts but more problems; more medicine but less wellness. .We spend too recklessly, laugh too little, drive too fast, get too angry too quickly, stay up too late, read too little, watch Tv too much and Pray too seldom. .We multiply our Possessions but reduce our values; we talk too much, love too little and lie too often. .We’ve learned how to make living, but not a life; we’ve added years to life not life to years. .We have taller buildings, but shorter tempers; wider freeways but narrower viewpoint. .We spend more, but have less; we buy more, enjoy less. .We’ve been all the way to the moon and back, but have trouble crossing the street to meet our neighbor. .We’ve conquer outer space, but not inner space. .We split the atoms, but not our prejudice .We write more, learn less; plan more but accomplish less; we’ve learned to rush but not to wait; we have higher income but lower morals. .We build more computers to hold more info, to produce more copies but have less communications. .We’re long on quantity but short on Quality. .These are the time for Fast food and slow digestion; tall men and short characters. .More leisure but less fun; more kinds of food but less nutrition; two income but many divorces, fancier houses but broken homes.
1 comment:
Ijumaa njema!
Post a Comment