Bwn Hodari ni Mkurugenzi wa Give Peace a Chance Coalition (G-PAC), mtangazaji wa WPFW Pacifica Radio na mmiliki wa duka la vitabu liitwalo Dar Es Salaam lililopo Maryland nchini Marekani.
Hotuba hii aliitoa siku ya kuenzi kazi na Maisha ya Hayati Mwl Julius K Nyerere iliyoadhimishwa Oktoba 16, 2010 chuo kikuu cha Howard, Washington DC
No comments:
Post a Comment