Baada ya BLOGGER kwenda halijojo kwa muda, naona imerejea, ile post kadhaa zimewekwa DRAFT na haziingii hata ninapojaribu kuzi-post tena.
Wamesema wanashughulikia na zote zitarejea.
POLENI KWA KUKOSA "UHONDO"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
"Better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." Cyril Connolly (1903 - 1974)
3 comments:
Pole kwa usumbufu.
Wamekumbwa na tatizo tangu juzi, walikuwa wanajaribu kufanya marekebisho kwa kupitia pia blogu zao kuona kama mambo sawa lakini ilishindikana kwa wakati huo, blogu zao zikarudia kuchapisha 'posts' za zamani. Natumai watafanikiwa kuondoa-bug hiyo.
Subira huvuta kheri kaka.
Tupo tunasubiria uhondo hapa !
Sijui kijiwe hiki nacho kimewekewa limbwata? Maana wengine tumenasa!:-(
Post a Comment