Maisha ya Dada yetu Mina Said Omar hapa duniani yaitimilika Septemba 21 hapa Maryland. Maisha mapya yameanza. Na kati ya maisha ya kale na mapya, kuna hatua za kupumzisha mwili. Na ndilo lililofanyika jana katika makaburi ya Al firdaus Memorial Gardens yaliyopo bara bara ya New Design, Frederick, Maryland nchini Marekani.
Baadhi ya wapendwa waliweza kutuwakilisha katika tukio hilo na TUNAWATHAMINI KWA HILO. Kaka yetu Ebou Sharty wa blogu hii ya Swahili Villa alihudhuria na kuweza kushirikiana nasi baadhi ya kumbukumbu
Baadhi ya wapendwa waliweza kutuwakilisha katika tukio hilo na TUNAWATHAMINI KWA HILO. Kaka yetu Ebou Sharty wa blogu hii ya Swahili Villa alihudhuria na kuweza kushirikiana nasi baadhi ya kumbukumbu
Kwa picha zaidi toka BLOGU YA SWAHILI VILLA, BOFYA HAPA
PUMZIKA KWA AMANI Da MINA
1 comment:
R.I.P!
Post a Comment