Sunday, October 2, 2011

Chemsha bongo...Unaona nini?

Hii ilistahili kuungana na POST moja ijayo, lakini wacha niiweke hapa nanyi MTAFUNE (mfikirie) nami badala ya mimi "KUTAFUNA" peke yangu wakati wa kuiandika.
Dadangu B.M (love you plenty) kaiwazisha akili yangu kwa sauti juu ya taswira hii hapa chini. Ati wewe unaona tatizo gani kwenye picha hii? Ama ni DHIHAKA gani iliyomo humu? Kumbuka, ni "banner" kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya UHURU WA tanzania BARA.
Ukitaka "kugandamizia" soma hapa http://changamotoyetu.blogspot.com/2010/12/tanzania-yanguisherehekeayo-uhuru.html ama http://changamotoyetu.blogspot.com/2011/07/tanzania-yanguna-dhihaka-ya-kuwaenzi.html
TUWAZE KWA SAUTI, TUWAZE KWA PAMOJA

No comments: