Saturday, October 8, 2011

Mpigie kura Dereck Kayongo


Dereck Kayongo, mwenye mradi wa Global Soap Project ni mzawa wa Afrika Mashariki ambaye alianza kukusanya sabuni kwenye hoteli na sehemu nyingine na kisha kuzituma nyumbani Afrika. Mpaka leo hii, mradi wake umewezesha kutoa miche laki moja kwa jamii mbalimbali katika nchi tisa.
Waweza kuSOMA HABARI ZAKE NA KUMPIGIA KURA HAPA.

No comments: