Sunday, November 6, 2011

EID MUBARAK

Napenda kuwatakia EID NJEMA wale wote washerehekeao siku ya leo. Ule Upendo, Heshima na Thamani tufundishwayo baina yetu iendelee kuwa nguzo muhimu kwa jamii nzima na tuendelee kuishi kwa umoja, ushikamano na ushirikiano.
EID MUBARAK

1 comment:

mumyhery said...

shukran mkuu na kwako pia