Monday, December 26, 2011

CHEMSHA AKILI......!

Nguo inauzwa sh. 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh.5000 na kwa kaka sh.5000 ukapata sh.10,000. Uloenda kununua hiyo nguo ukaomba upunguziwe ukauziwa kwa 9700/= ukarudishiwa sh.300. Ukaamua kupunguza deni ukatoa sh.100 kwa kaka na sh.100 kwa dada. Ukabakiwa na sh.100. Hivyo ikawa una deni kwa kaka sh.4900 na dada sh.4900. Ukijumlisha ya kaka 4900 na dada 4900 unapata 9800 ukiongeza na ile sh.100 uliyobaki nayo inakuwa 9900. Je? sh.100 imekwenda wapi?

Nova Kambota
www.novakambota.com

No comments: