Sunday, February 5, 2012

Ana kwa Ana na Balozi Seif Ali Idi

Mwishoni mwa mwaka jana pia nilipata fursa ya kumhoji Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Idi. Alikuwa mkarimu sana kuzungumza nasi juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na ziara yake, maendeleo visiwani Zanzibar, ajira kwa vijana na hata ajali ya meli ya Mv Spice Islander na suala la ushirikiano baina ya chama tawala CCM na wapinzani wao walio katika serikali ya umoja wa CUF.
Msikilize hapa chini

No comments: