
Kwa mujibu wa Mchungaji Shideko wa kanisa la The Way of the Cross Gospel Ministires, msanii huyo na wenzake watamtukuza Mungu kwa nyimbo kanisani hapo ambapo pia kundi wenyeji la Sounds of Glory Singers litahudumu.Pia Mchungaji Deogratias Lubala kutoka Tanzania atahubiri

Anwani ya kanisa hilo ni:
3621 CAMPUS DR,
COLLEGE PARK. MD. 20740
NYOTE MNAKARIBISHWA
1 comment:
Mkuu tupo pamoja
Post a Comment