Sunday, March 31, 2013

MJADALA: Mustakabali wa Jumuiya za waTanzania baada ya ujio wa matawi ya vyama vya siasa

Karibu katika mjadala kuhusu mustakabali wa Jumuiya mbalimbali za waTanzania katika DIASPORA baada ya kufunguliwa kwa matawi ya vyama mbalimbali vya siasa katika nchi husika.
Katika mjadala huu uliohusisha wakazi wa Washington DC na vitongoji vyake (DMV), washiriki wanajaribu kujadili namna tulivyofika hapa na pia namna ya kuweza kujinasua toka katika hii dhana ama hali halisi ya TATIZO la mgawanyiko unaoanza kujitokeza kutokana na ITIKADI miongoni mwa waTanzania.
Karibu uungane nasi
 

No comments: