Friday, April 19, 2013

Ana kwa Ana na Nape Nnauye....Mwaka mmoja baadae


Mwishoni mwa mwaka 2011, nilibahatika kupata fursa fupi ya kuketi na kuhojiana na Katibu Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Nape Nnauye. Alikuwa nchini kwa ziara fupi ya kikazi na pia alikutana na wanachama wa matawi ya CCM hapa nchiniTulijadili mambo machache tofauti kuhusu chama anachoongoza na migogoro iliyomo ndani mwake.
MWAKA MMOJA TANGU TUHOJIANE...UNAONA MABADILIKO?
Karibu kusikiliza mahojiano yetu hapa chini

No comments: