Tuesday, May 7, 2013

The Bees Group...Watoto na TALANTA zao kwa Mungu

Waite The Bees Group.
Watoto wa kiTanzania wanaoishi hapa Washington DC ambao kwa muda wao wa ziada wanafanya mazoezi ya nyimbo mbalimbali za dini na kutumika katika kumtangaza Mungu kwenye ibada, matamasha na makusanyiko ya kidini hapa Washington Metro.
Na hapa wameonyesha wanavyomfurahia Mungu katika wimbo huu wake Zak Mtumishi uitwao Yesu Ameniokoa.
Kuna vipaji humu, na sasa ni kazi kwetu wazazi KUVIKUZA NA KUVITUNZA

No comments: