Friday, July 19, 2013

Ana kwa Ana ya Swahili Tv na Mhe. Edward Lowassa

Wanahabari wenzetu wa Swahili Tv, walipata fursa ya kuhojiana na Waziri Mkuu wa Zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa.
Pamoja na Mambo mengine, Mhe. Lowassa anawaasa wanaDiaspora kuungana mkono katika shughuli zao, kupendana na kutakiana mema
Pia anaongelea swala la elimu, mchakato wa katiba na mustakabali mzima wa siasa za Tanzania

No comments: