Tuesday, August 27, 2013

Edibily Lunyamila akilonga na Vijimambo

Edibily Lunyamila alipokuwa akishuhudia mazoezi ya timu ya Yanga katika makao makuu ya klabu hiyo, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani jijini Dar Es Salaam. 
Photo Credits: Bin Zubeiry
Mcheza soka nyota wa zamani wa kimataifa Edibily Lunyamila, amefanya mahojiano na Dj Luke wa blog ya Vijimambo na kueleza mambo mbalimbali ikiwemo shughuli zake baada ya kustaafu soka na hata anavyolinganisha soka la "enzi" wake na sasa.
Pia kagusia changamoto ambazo wachezaji wastaafu wanakumbana nazo na maoni yake katika kukuza soccer la Tanzania
MSIKILIZE

No comments: