Sunday, September 15, 2013

Mkutano wa Dr Willibrod Slaa na waTanzania DC


Viongozi na wanachama wa CHADEMA DMV wanapenda kuwakaribisha Watanzania wote Kuhudhuria mkutano na Katibu Mkuu wa CHADEMA (Taifa) Dr. Willibrod Slaa utakaofanyika Jumapili ya Septemba 22, 2013 kuanza saa saba mchana mpaka saa kumi na mbili jioni (1:00pm - 6:00 PM)
Anwani ni:  
1401 Unirvesty Blvd. (Mirage Hall)
Langley Park. Md 20783 
Karibuni tuje tujadiliane kuhusu maendeleo ya nchi yetu.
Maelezo zaidi wasiliana na
Liberatus Mwang'ombe  (240) 423-3331  
Baby Mgaza  (202) 200-5031 
Hussein Kauzela  (614) 653 - 1137 
Wote mnakaribishwa



No comments: