Wednesday, October 9, 2013

Ana kwa Ana ya Jamii Production na Hezekia Mwalugaja

Jamii Production tulipata fursa ya kuhojiana na mlezi-kiongozi wa Hananasif Ophanage Center (HOCET)  Hezekia Mwalugaja katika studio zetu hapa Washington DC
Ameeleza mengi kuhusu kituo anachoongoza.
Jinsi kilivyoanza, mahala kilipo, tofauti yake na vituo vingine vya kulelea watoto walio katika mazingira magumu,
Pia ameeleza kuhusu jambo / mambo yayayomsikitisha kuhusu vituo vya kulelea watoto walio katika mazingira magumu Tanzania
Kaeleza kuhusu shule waliyoanzisha maalum kwa watoto hao, mafanikio waliyoanyo (ambayo ni ya kujivunia hakika) na mengine mengi yatakayokufanya usijutie muda wako kufuatilia mahojiano haya.

KARIBU UUNGANE NASI

No comments: