Wednesday, October 9, 2013

Dr Slaa afanya mahojiano na radio mbili za kitaifa nchini Marekani


Dr Slaa akifurahia jambo ndani ya studio za WIBC 93.1FM Indinnapolis
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Willbrod Slaa ambaye yupo kwenye ziara ya "VISION TANZANIA" nchini Marekani,. leo amefanya mahojiano na vituo viwili vya radio hapa nchini kueleza mambo mbalimbali kuihusu Tanzania.
Saa tatu asubuhi kwa saa za Marekani ya Mashariki, Dr. Slaa alikuwa katika studio za 93.1 WIBC Indiannapolis kwenye Garrison Show
Bofya hapa chini kusikiliza mahojiano hayo
Mchana wa leo (saa saba mchana kwa Marekani ya Mashariki), Dr Slaa alifanya mahojiano kwa nia ya simu na WPFW Radio ya Washington, D.C.
Bofya hapa chini kuyasikiliza

No comments: