Tuesday, August 11, 2015

MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI



Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidi https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.

Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.

There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack.

We have taken measures to lighten the effects of this as much as we can. Unfortunately it is something that we don't have much control over, but we will do all in our power to get the blog back to full functionality.

Imetolewa na Operation Manager wa Modewjiblog, Zainul Mzige.

Email: info@modewjiblog.com

No comments: