Tuesday, October 21, 2008

Sherehe za Kazi na Maisha ya Mwl J. K. Nyerere ktk picha

Wimbo wa Taifa ukiimbwa
Rene Henry akiimba wimbo wa Black National Anthem
Wageni wakishangilia baada ya nyimbo kuimbwa
Baba Rick Tingling toka Nyerere Health and Education Fund akikaribisha wageni na kuelezea juu ya mfuko huo
Julius Nyerere III akieleza maisha na mahusiano yake na Babuye
Mgeni wa Heshima Balozi wa Tanzania USA Mhe Balozi Ombeni Sefue akitoa neno kuu Baadhi ya wanafamilia wa Hayati Mwl Nyerere waliosaidia kufanikisha siku hiyo.

Balozi Sifue akikata keki akishuhudiwa na mwanafamilia wa Nyerere


Baadhi ya wageni walikwa

No comments: